Je Mkojo wa popo una madhara?

Je Mkojo wa popo una madhara?

Muda huu nimekaa sehemu chini ya mti, ghafla naona maji yanadondoka kutoka juu ya mti, yamedondoka kwenye mwili wangu mikononi na kichwani, naangalia juu naona popo mkubwa kumbe alikuwa anakojoa.

Sasa najiuliza, je baada ya mkojo huu kunishukia mwilini je naweza kudhurika Kwa lolote?
Ukiwa na HIV/AIDS unapona
 
Ungekinga mdomo ukaunywa uku uknena khs mkojo unenepeshe uume na kuongeza nguvu za kiume aisee ungeweza kupga miti vidada vya gen z hata ukifksha miaka 90 nguvu hazpungui umepshana na bahati sn mtafute tn popo huyo akukojolee mdomon umeza kojo lake. Lakn pia pengne walikuwa dume na jike sa jike likapgwa katelero ndo likasaula maji kama yote si unajua shipa la popo bawa NB: KAMA ITAKUWA NI MAJI YA KATELERO WAHI KWNY MAOMBI MAANA UTAFATWA NA POPO BAWA SANA AKDHANI WE NI YULE JIKE..sbb ya harufu uliyonayo kwasasa.
 
Ungekinga mdomo ukaunywa uku uknena khs mkojo unenepeshe uume na kuongeza nguvu za kiume aisee ungeweza kupga miti vidada vya gen z hata ukifksha miaka 90 nguvu hazpungui umepshana na bahati sn mtafute tn popo huyo akukojolee mdomon umeza kojo lake. Lakn pia pengne walikuwa dume na jike sa jike likapgwa katelero ndo likasaula maji kama yote si unajua shipa la popo bawa NB: KAMA ITAKUWA NI MAJI YA KATELERO WAHI KWNY MAOMBI MAANA UTAFATWA NA POPO BAWA SANA AKDHANI WE NI YULE JIKE..sbb ya harufu uliyonayo kwasasa.
Acha masihara mkuu, kama unajua madhara ya mkojo wa popo sema na sio kuleta mzaha
 
Kuna madhara yoyote naweza kupata mkuu?
Popo ni viumbe wamaoweza kuwa na virus wa hatari sana. Hata magonjwa mengi ya mlipuko kama ebola au corona kuna nadharia kuwa yalitoka kwa maambukizo ya popo. Hukunawa kwa sabuni sehemu mkojo ulikokupata? Ilitakiwa unawe kwa sababu au kuoga haraka sana. Lakini pia anaweza asiwe alikuwa na magonjwa yoyote.
 
Popo ni viumbe wamaoweza kuwa na virus wa hatari sana. Hata magonjwa mengi ya mlipuko kama ebola au corona kuna nadharia kuwa yalitoka kwa maambukizo ya popo. Hukunawa kwa sabuni sehemu mkojo ulikokupata? Ilitakiwa unawe kwa sababu au kuoga haraka sana. Lakini pia anaweza asiwe alikuwa na magonjwa yoyote.
Nimeoga Kwa sabuni vizuri kabisa, ila sijahisi muwasho au utofauti wowote mwilini baada ya kidondokewa na ule mkojo wa popo.

Kama nikiona utofauti wowote, haraka sana nitawahi kituo Cha Afya.
 
Acha masihara mkuu, kama unajua madhara ya mkojo wa popo sema na sio kuleta mzaha
hakuna madhara mkuu hao popo tumewahi ishi nao sn enzi hzo wanakojoa uko juu ya paa mkojo unawadondokea, lakn nlitaka kujua ni popo wa kawaida au POPO BAWA? kama ni popo bawa bs hzo ni shahawa zake tu.
 
hakuna madhara mkuu hao popo tumewahi ishi nao sn enzi hzo wanakojoa uko juu ya paa mkojo unawadondokea, lakn nlitaka kujua ni popo wa kawaida au POPO BAWA? kama ni popo bawa bs hzo ni shahawa zake tu.
Ni popo wa kawaida na nilimuona Kwa macho, hizo stori za popo bawa ni za vijiweni tu mkuu.
 
Kijana fanya mpango haraka sana tuwasiliane nikupatie msaada, kunamtu amekupangia mambo ya hovyo anahitaji kukugeuza kitimoto.
 
Back
Top Bottom