Je Mkojo wa popo una madhara?

Je Mkojo wa popo una madhara?

kiredio Jr

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2024
Posts
1,124
Reaction score
2,076
Muda huu nimekaa sehemu chini ya mti, ghafla naona maji yanadondoka kutoka juu ya mti, yamedondoka kwenye mwili wangu mikononi na kichwani, naangalia juu naona popo mkubwa kumbe alikuwa anakojoa.

Sasa najiuliza, je baada ya mkojo huu kunishukia mwilini je naweza kudhurika Kwa lolote?
 
Muda huu nimekaa sehemu chini ya mti, ghafla naona maji yanadondoka kutoka juu ya mti, yamedondoka kwenye mwili wangu mikononi na kichwani, naangalia juu naona popo mkubwa kumbe alikuwa anakojoa.

Sasa najiuliza, je baada ya mkojo huu kunishukia mwilini je naweza kudhurika Kwa lolote?
Unaijua babonic plague
 
Muda huu nimekaa sehemu chini ya mti, ghafla naona maji yanadondoka kutoka juu ya mti, yamedondoka kwenye mwili wangu mikononi na kichwani, naangalia juu naona popo mkubwa kumbe alikuwa anakojoa.

Sasa najiuliza, je baada ya mkojo huu kunishukia mwilini je naweza kudhurika Kwa lolote?
popobawa anakuja kukupa mwongozo...
 
Back
Top Bottom