Sungura dume
JF-Expert Member
- Mar 28, 2016
- 562
- 502
Kwa mliopo idara ya elimu naomba kuuliza mtihani wa taifa wa darasa la saba kwa shule za international ni bure au unalipiwa!! Maana kuna shule ipo wilaya ya Chalinze maeneo ya Masuguru njia ya Msata - Bagamoyo inaitwa must lead pre and primary school imeweka kiwango cha ada ya mtihani wa taifa wa darasa la Saba mwaka huu kila mwanafunzi ni lazima atoe laki moja kama ada ya mtihani wa taifa je hili lipo sawa kwa shule zote za private!!
Msaada kwa mwenye uelewa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada kwa mwenye uelewa!!
Sent using Jamii Forums mobile app