X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 9,667
- 12,235
huyo mwanamke ni malaya....kwakweli kwa muda huo mdogo tu awe ameshatembea na wanume wawili....dah kesi hiyo ni ngumu ata kuaiamua ila kwakifupi huyo mtoto ana mababa wawili...!
Na Huku duniani pia x wanakufa mapema kuliko yNimesahau! Hivi shahawa zinakaa mda gani kabla ya kufa? From the time of ejaculation. Najua x anakufa mapema kuliko y
Wakati mwingine wanawake wanasababisha hadhi yao ishuke kutokana na matendo yaowe jamaa unamuita mwenzio kahaba
Yaani siku zote tunaishi naye na alipotoka kuchepuka akarudi nyumbani kwa hiyo inawezekana alipoenda kuchepuka ndipo alipopatia mzigohuyo mwanamke ni malaya....kwakweli kwa muda huo mdogo tu awe ameshatembea na wanume wawili....dah kesi hiyo ni ngumu ata kuaiamua ila kwakifupi huyo mtoto ana mababa wawili...!
Y wanakufa mapema mkuu.Angalia ndoa nyingi utagundua Y ameshatangulia kitambo amebaki XNa Huku duniani pia x wanakufa mapema kuliko y