kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Ni kweli watoe account ya nje kabisa hapa bongo kwanza wachangaji tunaweza kufuatiliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru Kwa kuwa mwelewa.Nilitaka ujibu halafu nikujibu zaidi. I don't care,nimetoka ban juzi tu.
Chuki ya Jiwe ni ya kuzimu.
Ku freeze hawatoweza, labda watasema ikatwe kodi hii michangoWakuu za asubuhi !
Wadau mimi binafsi ninaona ipo possibility kubwa ya kuja kuifreez account ya kumchangia Tundu Lissu kwa maagizo kutoka juu ! Je mnadhani hilo linawezakana kufanyika? Nini kifanyike kwasasa ? Ikitokea hivyo hatua gani zichukuliwe kwa aliye athirika na maagizo hayo toka juu? Karibuni kwa mawazo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi ni viumbe wa ajabu sana.Hizo chuki kwa Lissu ni utoto wa kiutuuzima
Baelezee baelewe.mi mwenyewe nlitaka kumpa vipande vyake,ila nimeridhika na majibu uliyompa huyo ajizi nuksani.Nashukuru Kwa kuwa mwelewa.Nilitaka ujibu halafu nikujibu zaidi. I don't care,nimetoka ban juzi tu.
"Waacheni wafu wawazike wafu wenzao" Wewe endelea kuishi Kwa raha, amani,starehe na furaha tele.Kwani hautakuja pata tatizo wala vikwazo ktk family yako.Tena ukiwa ktk utawala huu wa neema tele kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mpo serious kabisa kumchangia Huyu MTU? Kweli nimeamini mwenye nacho huongezewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameelewa solid majority huyu,Sijui ana roho ya vipi?Kama hapendi suala hili na hampendi akae kimwa sie tufe naye binadamu mwenzetu.Baelezee baelewe.mi mwenyewe nlitaka kumpa vipande vyake,ila nimeridhika na majibu uliyompa huyo ajizi nuksani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anafikiri alichaguliwa kwaajili ya kazi hiyoChuki ya Jiwe ni ya kuzimu.
Hata wewe mkuu Kama Unataka kuchangiwa weka account number tu watanzania sisi wema tutakuzidishiaHivi mpo serious kabisa kumchangia Huyu MTU? Kweli nimeamini mwenye nacho huongezewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaa na mali yako, shida iko wapi ?!. Si hata mwanzo walimchangia ?!Hivi mpo serious kabisa kumchangia Huyu MTU? Kweli nimeamini mwenye nacho huongezewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ataongoza malaika wa kuzimu.Endapo huyu mukulu ndo angeipokea hii nchi toka ukoloni,aiseee...angeanzisha dini yake ambayo kuna makabila yangekua yanatafuna nyama za wengine
Huezi ropoka eti ukienda mbinguni MUNGU atakupa ukuu wa kuongoza wengine
Lkn labda malaika mambumbu kama wapo
Sent using Jamii Forums mobile app