Mwande na Mndewa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2021
- 1,250
- 3,451
Baada ya hotuba ya Ndugu Polepole,nimegundua sijui mchakato wa kumpata mgombea Urais wa CCM,naomba kueleweshwa?
NdioJe mpaka sasa Samia ni mgombea Urais wa CCM?
Je Samia amezunguka Tanzania nzima kutafuta wadhamini kujaza form yake ya ugombea Urais wa CCM?Ndio
Hapana bossJe Samia amezunguka Tanzania nzima kutafuta wadhamini kujaza form yake ya ugombea Urais wa CCM?
Je muda upo wa kuzunguka Tanzania nzima kupata wadhamini wa form yake ya ugombea Urais?Hapana boss
Hakuna linaloshindikana bila hata kuzunguka....Je muda upo wa kuzunguka Tanzania nzima kupata wadhamini wa form yake ya ugombea Urais?
Serikali na Ikulu sio mali ya BABAKO🤔🤔🤔Uongozi sio Mali ya baba yako...😁