Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Heshima kwenu wakuu,
Hivi mbunge wako uliyempa kura yako anatimiza kile ulichomtuma pale bungeni?
Binafsi mbunge wangu mzee Lyatonga Mrema naona anajitahidi japo haendani na spidi ya sasa ila ananipa matumaini,anasinzia bungeni ila halali kama wabunge wengine ninaowaona.
Vipi kuhusu mbunge wako? Ni vizuri ukamtaja kwa jina ili akipita huku aweze kujirekebisha.
wakuu naomba kuwasilisha.
Mbunge wangu ni Mnyika wa Ubungo. Yeyey ni mtu wa hoja binafsi na kuomba miongozo. ....... Ametulate down sana huyu kijana na asubiri maamuzi yetu mepesi uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wangu ni Mnyika wa Ubungo. Si kumbuni ni lini amewahi kupeleka jambo lolote bungeni kuhusu Ubungo. Amekuwa ni mbunge wa taifa. Yeyey ni mtu wa hoja binafsi na kuomba miongozo. Kuwa mbunge usie obsessed ukadhani sasa wewe ni mkuu wa nchi unajua kila kitu mawazo yako binafsi ni muhimu kuliko mipango ya nchi inayoandaliwa na wataalamu waliobobea. Ajwahi kuonekana jimboni zaid ya kuja kufungua matawi ya CHADEMA. Ametulate down sana huyu kijana na asubiri maamuzi yetu mepesi uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wangu ni Mnyika wa Ubungo. Si kumbuni ni lini amewahi kupeleka jambo lolote bungeni kuhusu Ubungo. Amekuwa ni mbunge wa taifa. Yeyey ni mtu wa hoja binafsi na kuomba miongozo. Kuwa mbunge usie obsessed ukadhani sasa wewe ni mkuu wa nchi unajua kila kitu mawazo yako binafsi ni muhimu kuliko mipango ya nchi inayoandaliwa na wataalamu waliobobea. Ajwahi kuonekana jimboni zaid ya kuja kufungua matawi ya CHADEMA. Ametulate down sana huyu kijana na asubiri maamuzi yetu mepesi uchaguzi mkuu ujao.