johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,976
Nimekatiza hapo ufipa na kuwasikia vijana wawili wakisema wanamsubiri Mwenyekiti wamsindikize kituoni.Nikahisi tu labda mwenyekiti huyo ni wa taifa na ameamua kujisalimisha, tusubiri muda utaongea.