Taasisi za kifedha haziangalii dhamana. Wao hukopesha kutegemeana na biashara yako. Zaidi wataangalia unavyojiendesha kama hiyo biashara inaweza kukopa kiasi gani lakini inategemea na mahitaji yako pia sema hawawezi kukupa zaidi ya uwezo wa biashara yako kulipa. Dhamana inakaa tu pale kama in case likitokea la kutokea.