dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,956
- 9,482
Ulijaza Fomu huko Chadema ulikatwa? au Povu tuNi kweli mchakato wa kuwapata Wenje na Masha katika kugombea nafasi hizo hazipendezi kabisa. Chadema wasitumie majina ama urafiki katika masuala ya demokrasia, kinachotakiwa ni kwa Chadema kuonyesha kuwa imekomaa kidemokrasia katika kupata wagombea wake. La sivyo Chadema itaiga mtindo wa CCM katika kupata wagombea wake