Je, Marekani atavamia Iran?

Je, Marekani atavamia Iran?

Quinn

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2017
Posts
473
Reaction score
1,185
Jibu la swali hili ni HAPANA kwasababu ifuatayo:

China iliitangazia dunia May 2019 kuwa itapingana na vikwazo vyovyote vya marekani vya kumzuia kununua mafuta kutoka Iran.

India nayo ilitangaza pia kupingana na vikwazo vya marekani vya kuwazuia wao kununua mafuta kutoka Iran kwani nchi hizi zinategemea mafuta kwa kiasi kikubwa kutoka Iran.

Shambulio lolote litakalofanywa nchini Iran itapelekea kuzuia biashara ya mafuta kuelekea nchi hizo ikiwemo China ambayo italazimika nayo kupeleka nguvu ya kijeshi ili aendelee kupata mafuta kwani ni moja ya kichocheo kikubwa cha uchumi wa nchi yake hawezi kuvumilia usitishwaji wa mafuta kwenda nchini kwake.

Kuthibitisha hilo kwa wanaokumbuka shambulio ambalo Japani lilifanya kule Pearl harbour ilitokana na Marekani kuzuia uingizaji wa mafuta kuelekea Japan kutoka julai 1941 na kuendelea. Shambulio la Japan lilikuwa ni hatua ya kuonesha hasira yao baada kuzuia uingizaji wa mafuta Japan.


Uvamizi wa Kijeshi utakaofanya na Marekani wa kuingia Iran ni kutangaza vita kwa China na India . China anaweza kurudisha mashambulizi kwa kusaidiana na Iran ambapo China ana umiliki mkubwa wa silaha za nyuklia kwani mafuta kwa dunia ya sasa ni muhimu kama yalivyo maji kwa Taifa lolote.


Mbali na hizi nchi mbili kutegemea sana mafuta kutoka Iran bali nchi nyingine zinazotegemea mafuta kutoka Iran ni pamoja na Nchi za ulaya, Japan , korea ya kusini na nyingine nyingi na hii inaonyesha hata baadhi ya washirika wa marekani wanategemea mafuta kutoka nchi hii hivyo kuvamiwa kwake inaweza ikaleta usaliti mkubwa kwa marekani kwani wengi watamsaliti kwakuwa atakuwa amegusa maslai yao pia na ndo maana siku zote wamekuwa kimya pale marekani alipotoa maneno ya kuvamia kijeshi Iran na hawataki kutoa neno lolote kuonesha support kwa marekani.

Vikwazo au shambulio lolote kwa Iran ni tishio kwa usalama na ulinzi wa China na India .

Urafiki wa China na Iran ilipelekea China kumpatia Iran Copy ya Teknolojia ya Silaha aina ya EMAD Anti Ship Missile ambayo ni silaha nzito ya kuangamiza meli kubwa za kivita na hili swala liliwakera sana wamerakani baada ya China kucopy hiyo teknolojia na kumpatia Iran. Nchini China hii Silaha inaitwa Dong Feng-21 ship killer.

Iran pia kwa kushirikiana na korea ya kaskazini iliweza kutengeneza rocket ya kubeba makombora mazito yenye tabia sawa na ya korea kaskazini aina Nodong. Kombora hili lina mtambo wa rocket wa kuruka mbali ambayo inaweza kufuata kombola lingine aina ya Aegis angani na kulizuia kabla ya kuja kuleta madhara ardhini na kombora hili limefungwa mifumo ya siri isiyoweza kuwa detected na radar wakati inakwenda kusawazisha hilo kombora hvyo ni ngumu kutabiri mwelekeo wa ujio wake. Ushirikiano huu wa Iran na Korea kaskani uliongezea vikwazo vingi sana Iran.

Marekani amekosa uhuru wa kuitawala anga la Iran . Wakati JCPOA wakijadiliana na Urusi 2013-2015, Urusi ilikubali ombi la Marekani la kutouizia Iran Mfumo wa kujikinga na mabomu wa S-300. Baada ya Marekani kujitoa kwenye JCPOA mwaka 2019, Urusi akavunja makubaliano yake na Marekani ya kutoiuzia mfumo wa kujikinga na mabomu S-300 kwa Iran.

Baada ya Iran kuzuiwa kupata huo mfumo wa S-300 ikaja ikafanikiwa kupata nyaraka za siri ya jinsi ya kutengeneza copy ya ule mfumo. Iran walitengeneza copy ya teknolojia ya mfumo wa S-300 lakini wakaiongezea uwezo zaidi kuliko ule mfumo wa awali wa S-300. Ilikuja kuonekana kuwa nyaraka za Siri za kutengeneza huo mfumo pia Korea ya kaskazini walizipata na wao wakatengeneza copy yao na ikaja kuonekana Iran walizipata kutoka Belarus .

Copy ya S-300 iliotengenezwa Iran iliitwa Bavar 373. Baada ya kufanyiwa Majaribia ndipo ikaja kuonekana mfumo huo wa kujikinga na makombora unafanana na mfumo wa kisasa amabao ni toleo jipya la S-400 ya nchini Urusi. Mpaka leo hii Marekani inamlaumu Urusi kuwa aliuza teknolojia hiyo kwa Iran.

Mfumo huu unaweza kuzuia makombora kwa wakati mmoja yaliyorushwa kutoka kwenye vyanzo tofauti kwani inafanya kazi kulingana na frequencies za ayo makombora.

Kuivamia Iran ni jambo ambalo haliwezi kutokea ama iwe ya kisiasa au kiuchumi. Marekani itaongeza tu vikwazo kwa Iran na sio kuivamia kijeshi.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jibu la swali hili ni HAPANA kwasababu ifuatayo:

China iliitangazia dunia May 2019 kuwa itapingana na vikwazo vyovyote vya marekani vya kumzuia kununua mafuta kutoka Iran.

India nayo ilitangaza pia kupingana na vikwazo vya marekani vya kuwazuia wao kununua mafuta kutoka Iran kwani nchi hizi zinategemea mafuta kwa kiasi kikubwa kutoka Iran.

Shambulio lolote litakalofanywa nchini Iran itapelekea kuzuia biashara ya mafuta kuelekea nchi hizo ikiwemo China ambayo italazimika nayo kupeleka nguvu ya kijeshi ili aendelee kupata mafuta kwani ni moja ya kichocheo kikubwa cha uchumi wa nchi yake hawezi kuvumilia usitishwaji wa mafuta kwenda nchini kwake.

Kuthibitisha hilo kwa wanaokumbuka shambulio ambalo Japani lilifanya kule Pearl harbour ilitokana na Marekani kuzuia uingizaji wa mafuta kuelekea Japan kutoka julai 1941 na kuendelea. Shambulio la Japan lilikuwa ni hatua ya kuonesha hasira yao baada kuzuia uingizaji wa mafuta Japan.


Uvamizi wa Kijeshi utakaofanya na Marekani wa kuingia Iran ni kutangaza vita kwa China na India . China anaweza kurudisha mashambulizi kwa kusaidiana na Iran ambapo China ana umiliki mkubwa wa silaha za nyuklia kwani mafuta kwa dunia ya sasa ni muhimu kama yalivyo maji kwa Taifa lolote.


Mbali na hizi nchi mbili kutegemea sana mafuta kutoka Iran bali nchi nyingine zinazotegemea mafuta kutoka Iran ni pamoja na Nchi za ulaya, Japan , korea ya kusini na nyingine nyingi na hii inaonyesha hata baadhi ya washirika wa marekani wanategemea mafuta kutoka nchi hii hivyo kuvamiwa kwake inaweza ikaleta usaliti mkubwa kwa marekani kwani wengi watamsaliti kwakuwa atakuwa amegusa maslai yao pia na ndo maana siku zote wamekuwa kimya pale marekani alipotoa maneno ya kuvamia kijeshi Iran na hawataki kutoa neno lolote kuonesha support kwa marekani.

Vikwazo au shambulio lolote kwa Iran ni tishio kwa usalama na ulinzi wa China na India .

Urafiki wa China na Iran ilipelekea China kumpatia Iran Copy ya Teknolojia ya Silaha aina ya EMAD Anti Ship Missile ambayo ni silaha nzito ya kuangamiza meli kubwa za kivita na hili swala liliwakera sana wamerakani baada ya China kucopy hiyo teknolojia na kumpatia Iran. Nchini China hii Silaha inaitwa Dong Feng-21 ship killer.

Iran pia kwa kushirikiana na korea ya kaskazini iliweza kutengeneza rocket ya kubeba makombora mazito yenye tabia sawa na ya korea kaskazini aina Nodong. Kombora hili lina mtambo wa rocket wa kuruka mbali ambayo inaweza kufuata kombola lingine aina ya Aegis angani na kulizuia kabla ya kuja kuleta madhara ardhini na kombora hili limefungwa mifumo ya siri isiyoweza kuwa detected na radar wakati inakwenda kusawazisha hilo kombora hvyo ni ngumu kutabiri mwelekeo wa ujio wake. Ushirikiano huu wa Iran na Korea kaskani uliongezea vikwazo vingi sana Iran.

Marekani amekosa uhuru wa kuitawala anga la Iran . Wakati JCPOA wakijadiliana na Urusi 2013-2015, Urusi ilikubali ombi la Marekani la kutouizia Iran Mfumo wa kujikinga na mabomu wa S-300. Baada ya Marekani kujitoa kwenye JCPOA mwaka 2019, Urusi akavunja makubaliano yake na Marekani ya kutoiuzia mfumo wa kujikinga na mabomu S-300 kwa Iran.

Baada ya Iran kuzuiwa kupata huo mfumo wa S-300 ikaja ikafanikiwa kupata nyaraka za siri ya jinsi ya kutengeneza copy ya ule mfumo. Iran walitengeneza copy ya teknolojia ya mfumo wa S-300 lakini wakaiongezea uwezo zaidi kuliko ule mfumo wa awali wa S-300. Ilikuja kuonekana kuwa nyaraka za Siri za kutengeneza huo mfumo pia Korea ya kaskazini walizipata na wao wakatengeneza copy yao na ikaja kuonekana Iran walizipata kutoka Belarus .

Copy ya S-300 iliotengenezwa Iran iliitwa Bavar 373. Baada ya kufanyiwa Majaribia ndipo ikaja kuonekana mfumo huo wa kujikinga na makombora unafanana na mfumo wa kisasa amabao ni toleo jipya la S-400 ya nchini Urusi. Mpaka leo hii Marekani inamlaumu Urusi kuwa aliuza teknolojia hiyo kwa Iran.

Mfumo huu unaweza kuzuia makombora kwa wakati mmoja yaliyorushwa kutoka kwenye vyanzo tofauti kwani inafanya kazi kulingana na frequencies za ayo makombora.

Kuivamia Iran ni jambo ambalo haliwezi kutokea ama iwe ya kisiasa au kiuchumi. Marekani itaongeza tu vikwazo kwa Iran na sio kuivamia kijeshi.




Sent from my iPhone using JamiiForums
wewe ndo umetowa habar inayo eleweka sio wanaoleta habari za kijiweni ziso kuwa na source!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"I am not a conspiracy theorist but recall that on December 27th, China, Iran, and Russia began an unprecedented exercise in naval war games and training in the waters around Iran.

Clearly big winners in any US vs Iran military conflict are the Russians and the Chinese. They may have taken advantage of an inexperienced President and a shockingly inexperienced foreign policy team to manipulate a crisis, and done it with few fingerprints.

These countries, with ruthless, experienced leaders know that they cannot win a direct military confrontation with the US, but they understand that great harm would come to America from a conflict with Iran.

At the same time the war games were going on, hundreds of Iranian-led Shia militias in Iraq attacked, for two days, the US Embassy in Bagdad.

Trump, predictably tweeted, that Iran "will pay a very BIG PRICE" for any damage. "This is not a warning, it is a threat," he said.

Almost as if scripted by Putin's psychological war teams, the next move came from Iran. Manipulating Trump's known character weaknesses, Iran's Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei responded to Trump's manhood by saying the US was under siege, that Trump "can't do a damn thing". Anti-American sentiment was widespread in Iraq, he added.

Trump's ego on the line, he responded with the attack on Soleimani. Perhaps the assassination was the right move. Or, perhaps a was a predictable trap.

Either way, with the US domestic political division widened by Trump's actions--and the possibility of great loss of American's people and treasure, the geopolitical lottery winners in an ensuing crisis are Russia and China.

Without firing a shot. Russia will get higher oil prices and the mighty US military may be absorbed in a conflict in the Middle East. America's might and influence will be distracted from Putin's military adventures in Ukraine and other countries.

China is a big winner as well. It will leave Beijing free to pursue its outrageous Spratly Islands claims that give China virtually the entire South China Sea. The US Navy, tied up with Iran, will be unlikely to continue its 'show the flag' visits in the Spratlys. With the US tied up in the Gulf of Hormuz, Beijing also gets a free card to deal with a recalcitrant Hong Kong and remind Taiwan that it is part of China and not the 51st state. Without interference from the distracted US, China will feel confident to be belligerent.

And finally, as the grip of world power begins to sway, Trump has alienated many of our traditional allies in the Middle East and Asia, so America stands pretty much alone.

The world smells the power shift and will continue to make adjustments away from America---and toward the east."
 
Kwa hiyo una maana kuwa Iran wanayo S-400 hapo tehran

Walitoa copy ya S-300 wakaongezea uwezo na kuita Bavar 373 ambayo ina tabia na uwezo sawa na S-400 ambayo hilo swala Trump alilalamika sana na kusema Urusi imeuza copy yake kwa Iran.

Tabia ya Iran ya kutoa copy za mifumo ya kujilinda imefanikiwa sana kwani ina copy zaidi ya tano iliyopata kutoka Urusi, China na korea ya kaskazini na kuifanya kuwa ndo nchi yenye uwezo mkubwa wa kulinda anga lake kuliko Nchi yyte kule middle East.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jibu la swali hili ni HAPANA kwasababu ifuatayo:

China iliitangazia dunia May 2019 kuwa itapingana na vikwazo vyovyote vya marekani vya kumzuia kununua mafuta kutoka Iran.

India nayo ilitangaza pia kupingana na vikwazo vya marekani vya kuwazuia wao kununua mafuta kutoka Iran kwani nchi hizi zinategemea mafuta kwa kiasi kikubwa kutoka Iran.

Shambulio lolote litakalofanywa nchini Iran itapelekea kuzuia biashara ya mafuta kuelekea nchi hizo ikiwemo China ambayo italazimika nayo kupeleka nguvu ya kijeshi ili aendelee kupata mafuta kwani ni moja ya kichocheo kikubwa cha uchumi wa nchi yake hawezi kuvumilia usitishwaji wa mafuta kwenda nchini kwake.

Kuthibitisha hilo kwa wanaokumbuka shambulio ambalo Japani lilifanya kule Pearl harbour ilitokana na Marekani kuzuia uingizaji wa mafuta kuelekea Japan kutoka julai 1941 na kuendelea. Shambulio la Japan lilikuwa ni hatua ya kuonesha hasira yao baada kuzuia uingizaji wa mafuta Japan.


Uvamizi wa Kijeshi utakaofanya na Marekani wa kuingia Iran ni kutangaza vita kwa China na India . China anaweza kurudisha mashambulizi kwa kusaidiana na Iran ambapo China ana umiliki mkubwa wa silaha za nyuklia kwani mafuta kwa dunia ya sasa ni muhimu kama yalivyo maji kwa Taifa lolote.


Mbali na hizi nchi mbili kutegemea sana mafuta kutoka Iran bali nchi nyingine zinazotegemea mafuta kutoka Iran ni pamoja na Nchi za ulaya, Japan , korea ya kusini na nyingine nyingi na hii inaonyesha hata baadhi ya washirika wa marekani wanategemea mafuta kutoka nchi hii hivyo kuvamiwa kwake inaweza ikaleta usaliti mkubwa kwa marekani kwani wengi watamsaliti kwakuwa atakuwa amegusa maslai yao pia na ndo maana siku zote wamekuwa kimya pale marekani alipotoa maneno ya kuvamia kijeshi Iran na hawataki kutoa neno lolote kuonesha support kwa marekani.

Vikwazo au shambulio lolote kwa Iran ni tishio kwa usalama na ulinzi wa China na India .

Urafiki wa China na Iran ilipelekea China kumpatia Iran Copy ya Teknolojia ya Silaha aina ya EMAD Anti Ship Missile ambayo ni silaha nzito ya kuangamiza meli kubwa za kivita na hili swala liliwakera sana wamerakani baada ya China kucopy hiyo teknolojia na kumpatia Iran. Nchini China hii Silaha inaitwa Dong Feng-21 ship killer.

Iran pia kwa kushirikiana na korea ya kaskazini iliweza kutengeneza rocket ya kubeba makombora mazito yenye tabia sawa na ya korea kaskazini aina Nodong. Kombora hili lina mtambo wa rocket wa kuruka mbali ambayo inaweza kufuata kombola lingine aina ya Aegis angani na kulizuia kabla ya kuja kuleta madhara ardhini na kombora hili limefungwa mifumo ya siri isiyoweza kuwa detected na radar wakati inakwenda kusawazisha hilo kombora hvyo ni ngumu kutabiri mwelekeo wa ujio wake. Ushirikiano huu wa Iran na Korea kaskani uliongezea vikwazo vingi sana Iran.

Marekani amekosa uhuru wa kuitawala anga la Iran . Wakati JCPOA wakijadiliana na Urusi 2013-2015, Urusi ilikubali ombi la Marekani la kutouizia Iran Mfumo wa kujikinga na mabomu wa S-300. Baada ya Marekani kujitoa kwenye JCPOA mwaka 2019, Urusi akavunja makubaliano yake na Marekani ya kutoiuzia mfumo wa kujikinga na mabomu S-300 kwa Iran.

Baada ya Iran kuzuiwa kupata huo mfumo wa S-300 ikaja ikafanikiwa kupata nyaraka za siri ya jinsi ya kutengeneza copy ya ule mfumo. Iran walitengeneza copy ya teknolojia ya mfumo wa S-300 lakini wakaiongezea uwezo zaidi kuliko ule mfumo wa awali wa S-300. Ilikuja kuonekana kuwa nyaraka za Siri za kutengeneza huo mfumo pia Korea ya kaskazini walizipata na wao wakatengeneza copy yao na ikaja kuonekana Iran walizipata kutoka Belarus .

Copy ya S-300 iliotengenezwa Iran iliitwa Bavar 373. Baada ya kufanyiwa Majaribia ndipo ikaja kuonekana mfumo huo wa kujikinga na makombora unafanana na mfumo wa kisasa amabao ni toleo jipya la S-400 ya nchini Urusi. Mpaka leo hii Marekani inamlaumu Urusi kuwa aliuza teknolojia hiyo kwa Iran.

Mfumo huu unaweza kuzuia makombora kwa wakati mmoja yaliyorushwa kutoka kwenye vyanzo tofauti kwani inafanya kazi kulingana na frequencies za ayo makombora.

Kuivamia Iran ni jambo ambalo haliwezi kutokea ama iwe ya kisiasa au kiuchumi. Marekani itaongeza tu vikwazo kwa Iran na sio kuivamia kijeshi.




Sent from my iPhone using JamiiForums
daa nataman wakiwashe China pale Russia chin ya General Vladimir na North Korea chin ya mtaalam kiduku ziingilie mapambano uku USA na vijakazi wake kina UK na France na waramba sori wengine mtanange utakuwa mtam sanaaaa tubahatike na sisi kuona WW3
 
China
emoji630.png
na India
emoji1128.png
Never
 
Tuko 2020 ayo ma historia ya century ayana uzito.u sio mpira

Sent using Jamii Forums mobile app

Inaonekana hufahamu international affairs...umesikia alichokisema Trump baada ya hyo response attack ya Iran?.. Amejitetea kuwa hana sababu ya kuvamia Iran kwakuwa hakuna americans waliojeruhiwa lakini kabla alisema endapo Iran atashambulia mali zozote za marekani( american assets) au wamarekani basi watamshambulia Iran lakini ameishia kusema wataiwekea vikwazo vya kiuchumi.

Jibu nilisema mwanzo kabisa kupitia hyo article kuwa marekani hawezi shambulia Iran bali atamwekea vikwazo tu vya kiuchumi.



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu yeye kaweka source ipi?

Nimeelezea hali halisi...na ukweli umeona kuwa Trump kagoma kwenda kushambulia Iran wakati alisema Iran ikishambulia mali zozote za marekani (american assets) wajiandae kupigwa.

China inanunua mafuta mengi kutoka iran, ukitikisa oil industry ya Iran basi China na India unao,pia Iran inanunua silaha na teknolojia kutoka China..mteja namba moja wa silaha na teknolojia za kijeshi wa China ni Iran


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Marekani yasema itaupdate mfumo wake wa ulinz
US Army contract targets software development for missile defences - Northrop Grumman

@northropgrumman US Army Contract Targets Software Development for Missile Defences - Northrop Grumman

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwenye mifumo ya kujilinda ya makombora kwa USA yuko nyuma sana...Marekani aliwekeza sana kwenye mifumo ya kushambulia na sio ya kujilinda. Na alijisahau kwenye hili kwani wingi wa wateja wa kununua silaha za mashambulizi likamfanya aendelee kuwekeza kwenye uvumbuzi wa silaha za mashambulizi.

Urusi aliona mbali sana ndipo akaanza kuwekeza bajeti zake kwenye mifumo ya kujilinda na wateja wengi sana wakaonekana kwenda urusi kununua mifumo ya kujilinda, Marekani kuja kustuka anakuta mwenzake yupo kwenye S-300 mara S-400 ambazo silaha zake za mashambulizi haziwezi kufanya kazi kwenye hiyo mifumo ndipo wateja wengi wakaanza kupungua na ndo marekani akaanza kutishia Urusi kuwa asithubutu kuuza hizo silaha za kujikinga kwa mataifa yoyote asa wale wenye migogoro na marekani.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom