Mtu wa Kawaida
JF-Expert Member
- May 2, 2008
- 239
- 69
Wadau kuna habari nimezipata muda si mrefu kwamba kuna vita kati ya koo ya Wairege na Wanyabisi na kuna mwanakijiji mmoja kajeruhiwa na kapelekwa hospitali.
Je kuna mdau anaweza kutuabarisha zaidi?? Kuhusiana na hii taarifa
Je kuna mdau anaweza kutuabarisha zaidi?? Kuhusiana na hii taarifa