Samson Ernest
JF-Expert Member
- Aug 28, 2014
- 1,119
- 1,569
Sasa kama umeshindwa kujua huo mstari nilioukoti ni agano jipya unafikiri tutaelewana kweli...kitabu cha waefeso sio agano la kale.Nyi watu mnaoenda enda tuuuu ukishasoma bibilia baaaas....wewe ni mtakatifu!!!
Since bibilia ndo kila kitu, si umetoa huo mstari agano la kale?
Hebu fafanua hii
Mambo ya Walawi 17-23
"23 Lakini hataingia ndani ya pazia, wala asikaribie madhabahu, kwa sababu ana kilema; ili kwamba asipanajisi patakatifu pangu; kwa kuwa mimi ndimi BWANA niwatakasaye."
Na laana hua zinaishia mbingun. huwa Mungu naye anazipima nani mwenye kosaMama ni mama na yapaswa kumtii ikiwa ni maamrisho ya mwenyezi Mungu.
Swala la mama kukupa laana au kufanya rizki yako kuwa ndogo sio Mama mwenye mamlaka nayo ila mwenyezi Mungu huruhusu hayo kutokea kwa kua hujamtii mwenyezi Mungu ktk maamrisho aliyokupa ya kumtii mzazi na kumpa daraja hilo.
Ila wengi wetu huona ni laana kutoka kwa mama na sio Mungu karuhusu
Uzi makiniHabari wadau!
Nadhani watu mtashangaa kuona bandiko hilo lakini kumbuka nimeweka alama ya kuuliza kule mwisho tena mara nne ili hata wale wazee wa fasta fasta waelewe hilo ni SWALI NA SI SENTENSI.
Aisee kwenye dunia hii kama umezaliwa eneo ambalo mama yako ni mstaarabu basi shukuru ila kama umezaliwa sehemu mama mkorofi DUMIA hii utapata tabu sana kila mtu anaongea lake.
Yote ni kumpa utukufu Mama
- Utasikia ukitaka kufanikiwa ww msikilize mama
- Mara sijui mama ndio anatoa riziki
- Mara mama ndio mama NK.
Je, ufanye nini kama mama yako akikutukana?
Je, ufanye nini kama mama yako ana kisirani?
Je, mama ni MUNGU?
MASWALI
Je ni kwann mama hupenda kuongea kwa kelele na wana wa kiume lakini huongea kistaarabu na wana wa kike mean dada zako ?????
TUANZIE HAPO !!!!!!!!!!!!!!!!!
MWENDELEZO / UPDATES
nimepitia comment za wadau kila mtu anaongea lake ila hii comment imenigusa
Kabisa muheshimiwa.
Unajua most of wale wanatukana...ni ili watu wengine wawaone wako perfect kumbe wana yao wameficha... unajua ile taswira ya kutaka cha kwako kionekane better. Kwa sababu unayo attachment, kwa iyo kikionekana na udhaifu basi wewe unao.
Man, i used to think my mum was perfect mpaka nilivyo grow up...naanza kuona reality. Umbea, beef ambazo hazina tija, kucomplain na hutaki kupewa solution, kuwa na double standards, kutokutaka kuambiwa ukweli(na ukijaribu kuongea bila ugomvi ni unajibiwa na kelele), dellusions...yani hizi ni shida za kila siku za wanawake. Every woman has them.
Na haimaanishi ni mtu mbaya....its just what it is.... na ninampeeenda tu sana.
Hongera kwa kushiriki maziko yake..Mama yangu alienizaa alikuwa watofauti alinikataa ,akutaka kabisa ata kupokea msamaha niliomuomba kipindi chote Cha maisha yake mpka anafariki kuachana na baba yangu akanijumuisha mpaka na Mimi nisie na hatia ! Yote nilishaga yasamehe na nikamzika kwa amani, licha ya kunitamkia Mara nyingi kuwa ata akifa nisije kwenye mazishi yake...
Hakika, kwa sababu nyakati zingine huyu mzazi huennda akataka ufanye shirki au hata usielewane na ndugu au hata baba yako mwenyewe na wakati huo huo akakuambia hatokua radhi nawe, si kwel kwamba laana itakupata kwa kutomtii katika haya, kubwa ni kuishi nao kwa wema na kuwatii huku ukichunga mipaka ya Mwenyezi MunguNa laana hua zinaishia mbingun. huwa Mungu naye anazipima nani mwenye kosa
Mtihani,Mama yangu Mimi huyu awe Mungu ndegelec.
Mama ninayemjua Mimi anatutapeli mpaka wanawe
Mungu ni baba, Mungu ni mlinzi, Mungu hategemei chochote toka kwako, Mungu anakupenda ila hakwambii, Mungu hupigana vita vyako bila kujitangaza, Mungu hutaka ubebe matatizo yako mwenyewe.
Hizi ni sifa za baba namaanisha baba yule uliyetoka kwenye kiuno chake kama kijusi na kuingia kwenye mji ule na ukue.
Ndio maana baba halisi ana uwezo wa kubaliki kizazi chake ila mama hawezi.
je ni nan alitunga hizo stor sijui mama ndo anatoa rizikiUzi makini
Mama si Mungu ujue
changia mkuu !!! tupqte jibu hapa unaogopaNaendelea kusoma comments
Taikoni wa Fasihi mheshimiwa sana ROBERT HERIEL pitia pande hii naamini jibu mujarab lipoHabari wadau!
Nadhani watu mtashangaa kuona bandiko hilo lakini kumbuka nimeweka alama ya kuuliza kule mwisho tena mara nne ili hata wale wazee wa fasta fasta waelewe hilo ni SWALI NA SI SENTENSI.
Aisee kwenye dunia hii kama umezaliwa eneo ambalo mama yako ni mstaarabu basi shukuru ila kama umezaliwa sehemu mama mkorofi DUMIA hii utapata tabu sana kila mtu anaongea lake.
Yote ni kumpa utukufu Mama
- Utasikia ukitaka kufanikiwa ww msikilize mama
- Mara sijui mama ndio anatoa riziki
- Mara mama ndio mama NK.
Je, ufanye nini kama mama yako akikutukana?
Je, ufanye nini kama mama yako ana kisirani?
Je, mama ni MUNGU?
MASWALI
Je ni kwann mama hupenda kuongea kwa kelele na wana wa kiume lakini huongea kistaarabu na wana wa kike mean dada zako ?????
TUANZIE HAPO !!!!!!!!!!!!!!!!!
MWENDELEZO / UPDATES
nimepitia comment za wadau kila mtu anaongea lake ila hii comment imenigusa
Kabisa muheshimiwa.
Unajua most of wale wanatukana...ni ili watu wengine wawaone wako perfect kumbe wana yao wameficha... unajua ile taswira ya kutaka cha kwako kionekane better. Kwa sababu unayo attachment, kwa iyo kikionekana na udhaifu basi wewe unao.
Man, i used to think my mum was perfect mpaka nilivyo grow up...naanza kuona reality. Umbea, beef ambazo hazina tija, kucomplain na hutaki kupewa solution, kuwa na double standards, kutokutaka kuambiwa ukweli(na ukijaribu kuongea bila ugomvi ni unajibiwa na kelele), dellusions...yani hizi ni shida za kila siku za wanawake. Every woman has them.
Na haimaanishi ni mtu mbaya....its just what it is.... na ninampeeenda tu sana.
Swali gumu.je ni nan alitunga hizo stor sijui mama ndo anatoa riziki
kuna jamaa mm9ja aliwahi kuniambia kuwa mama akifa na k8nyongo na wewe hutoboiiiiii !!!!!!Mama yangu alienizaa alikuwa watofauti alinikataa ,akutaka kabisa ata kupokea msamaha niliomuomba kipindi chote Cha maisha yake mpka anafariki kuachana na baba yangu akanijumuisha mpaka na Mimi nisie na hatia ! Yote nilishaga yasamehe na nikamzika kwa amani, licha ya kunitamkia Mara nyingi kuwa ata akifa nisije kwenye mazishi yake...
rudi hapa ww unaenda wapiKwasababu ya weakness yao tunatakiwa kuwa care na kuwasikiliza ili wapate amani.
Nimemaliza
Huo ndio udhaifu wenyewe.rudi hapa ww unaenda wapi
elezea io WEAKNESS
na io unadai uwe care na kumsikiliza sasa nakupa mfano imagine umemaliza chuo ww hutaki sherehe ukidai kuwa sherehe itagharimu pesa nying ambazo wanhekupa ww zikusaidie afu mama anasema lazima sherehe ifanyike na mding wako kashampa mpunga kila ukimshaur ni kelele kelele asikilizi yy ajali pesa inavyotumikq yy anataka sherehe
ndugu yangu usijisumbue kutafakari km ujui haya yalianzia wap !? na mpka nimefungua uzi ndio uje nimetafakar sikupata majibuSwali gumu.
Muhimu kutafakari kwanza
hahahaaa aisee sasa unafanyaje mkuu maisha magumu afu yy anakuforcw ufanye bomba la shwrehe watu wanywe afu unakuta hata gar huna ukihoji ni kwlele tuHuo ndio udhaifu wenyewe.
Vitu hata vidogo huvitukuza