Je, Mafuta mgando (virainishi) yanaweza zuia maambukizi ya UKIMWI!?

Yale maji ya ukeni, damu, shahawa za mwanaume vyote vinabeba VVU usipotoshe watu!
Nahisi wewe Elimu yako ni ndogo sana kwenye Maswala haya...
Kinachoambukiza Ukimwi ni Mchubuko na si Vinginevyo.
Yale maji ya Mwanamke hayana Virus bali Damu ndio yenye vizur hivyo Nikiweka Lubricants za kutosha tunajilia vyetu kiulain (kiroho safi) mpaka kidume kinapata Maximum Satisfaction...
 
Ukimwi haumbukizwi kwa damu pekeee..maji maji ya uke na shahawa za mwanaume Alie athirika pia zinaweza kua na virusi vya ukimwi.
 
Majibu ni haya yafuatayo,ukitaka chukua ukitaka endelea kubisha:
KWA MWANAMME kama unafanya ngono na mwanamke alieathirika alafu ukawa au ukapata mchubuko ambao utaruhusu damu yako kukutwa(kuwa exposed) basi unaweza kupata HIV....kwa hiyo kutumia MAFUTA ni njia bora,maana inaleta ulainisho na huwezi kupata michubuko,......nina uzoefu wa hilo na nina uhakika na hilo,i have been in this field for the years now,..hii njia ya mafuta ni nzuri ila inawashinda wengi maana mnakamia mechi,bao tano zote za nini lazima upate mchubuko na mwisho HIV,katika maisha yako ukiona unafanya ngono na unakutwa na michubuko jiandae soon utaanza dozi(though sio mbaya, nowadays watu wanaishi more than 20 yrs with HIV)....bao tano zote za nini mnataka sifa muonekane nyie ni mashababi,....kama unajijua hupendi kutumia condom basi kuwa smart kwenye protective measures nyingine hizi....HIV haimpati mtu mwerevu,HIV anaipata asiejua namna ya kujikinga,....katika maisha yako amini kila mtu ana HIV utakua makini na utajikinga,anza leo kutembea na MAFUTA kama huwezi kutembea na Kondom,.....wewe unaesema sijui mpime na uwe na mpenzi mwaminifu naona unaishi zama za mawe,kizazi hiki cha insta na dijitali hakuna uaminifu....hakuna kitu inatutesa wanaume kama NYEGE,muombe mungu akuondolee nyege aisee,maana inaweza kukufilisi na kukuangamiza,...kwa wanawake wao wanaishi maisha ya kuigiza,kuiga,tamaa ya vitu vizuri,so wanakua trapped just kwa tamaa na umaskini wao,hamna kitu mbaya kama umaskini..wanawake wanaishi maisha ya kudanga sio kama wanapenda au waliwahi plann no no its because of poverty na tamaa ya mambo mazuri,....demu wako unaemwamini ndio huyo huyo anatoka na dereva bodaboda,mashosti wanaunganishiana mabwana wenye pesa,wengine wanafanya matangazo ya kuuza biriani kumbe wanauza na vingine,kazini boss anamla,kama yupo huko mkoani na nimfanyabiashara akija kufunga mzigo huku Dar analiwa maana ana danga lake huku,kama ana kamkopo Benki na marejesho yanasumbua analiwa na afisa mikopo ili asibughuziwe sana,
wanatafuta madanga Sinza au Masaki we unamuona mwaminifu,...Wanaume chukueni hatua ngoma ipo na hatutaacha ngono leo wala kesho maana ni tamu na tumeshakua addicted,ili tuwe satisfied lazima uwe na mademu zaidi ya mmoja....so for this situation you have to take precautions,.... maana kuna kesho,you will be having a family kama bado huna..... don't ruin your future kwa sababu ya utamu wa dakika chache.....kwa wanawake sina ushauri wenu kwa leo...leo nimeamua niwashauri mabaharia wenzangu ambao ngono ni sehemu ya maisha yetu na tusidanganyane ngono haiachwi kizembe maana ni tamu,na raha ya ngono umpate demu mpya,....sihamasishi mfanye na wala sisemi zipu mfungue.....onyo:ufanyaji wa ngono zembe ni chanzo cha HIV be care UKIMWI upo!
 
Huu ugonjwa una maswali mengi kuliko majibu maana kila mmoja husema lake, mara kwenye maji maji ya ukeni wengine kwenye damu pekee.. Aise haeleweki anayeongea ukweli.
Dawa ni kuacha zinaa au kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu mengine ni kujitafutia stress zisizo na msingi.
Mpenzi mwaminifu anapatikanaje? au hujui Mke wako ni Dem wa jamaa mwingine?
 
Majibu ni haya yafuatayo,ukitaka chukua ukitaka endelea kubisha:
KWA MWANAMME kama unafanya ngono na mwanamke alieathirika alafu ukawa au ukapata mchubuko ambao utaruhusu damu yako kukutwa(kuwa exposed) basi unaweza kupata HIV....kwa hiyo kutumia MAFUTA ni njia bora,maana inaleta ulainisho na huwezi kupata michubuko,......nina uzoefu wa hilo na nina uhakika na hilo,i have been in this field for the years now,..hii njia ya mafuta ni nzuri ila inawashinda wengi maana mnakamia mechi,bao tano zote za nini lazima upate mchubuko na mwisho HIV,katika maisha yako ukiona unafanya ngono na unakutwa na michubuko jiandae soon utaanza dozi(though sio mbaya, nowadays watu wanaishi more than 20 yrs with HIV)....bao tano zote za nini mnataka sifa muonekane nyie ni mashababi,....kama unajijua hupendi kutumia condom basi kuwa smart kwenye protective measures nyingine hizi....HIV haimpati mtu mwerevu,HIV anaipata asiejua namna ya kujikinga,....katika maisha yako amini kila mtu ana HIV utakua makini na utajikinga,anza leo kutembea na MAFUTA kama huwezi kutembea na Kondom,.....wewe unaesema sijui mpime na uwe na mpenzi mwaminifu naona unaishi zama za mawe,kizazi hiki cha insta na dijitali hakuna uaminifu....hakuna kitu inatutesa wanaume kama NYEGE,muombe mungu akuondolee nyege aisee,maana inaweza kukufilisi na kukuangamiza,...kwa wanawake wao wanaishi maisha ya kuigiza,kuiga,tamaa ya vitu vizuri,so wanakua trapped just kwa tamaa na umaskini wao,hamna kitu mbaya kama umaskini..wanawake wanaishi maisha ya kudanga sio kama wanapenda au waliwahi plann no no its because of poverty na tamaa ya mambo mazuri,....demu wako unaemwamini ndio huyo huyo anatoka na dereva bodaboda,mashosti wanaunganishiana mabwana wenye pesa,wengine wanafanya matangazo ya kuuza biriani kumbe wanauza na vingine,kazini boss anamla,kama yupo huko mkoani na nimfanyabiashara akija kufunga mzigo huku Dar analiwa maana ana danga lake huku,kama ana kamkopo Benki na marejesho yanasumbua analiwa na afisa mikopo ili asibughuziwe sana,
wanatafuta madanga Sinza au Masaki we unamuona mwaminifu,...Wanaume chukueni hatua ngoma ipo na hatutaacha ngono leo wala kesho maana ni tamu na tumeshakua addicted,ili tuwe satisfied lazima uwe na mademu zaidi ya mmoja....so for this situation you have to take precautions,.... maana kuna kesho,you will be having a family kama bado huna..... don't ruin your future kwa sababu ya utamu wa dakika chache.....kwa wanawake sina ushauri wenu kwa leo...leo nimeamua niwashauri mabaharia wenzangu ambao ngono ni sehemu ya maisha yetu na tusidanganyane ngono haiachwi kizembe maana ni tamu,na raha ya ngono umpate demu mpya,....sihamasishi mfanye na wala sisemi zipu mfungue.....onyo:ufanyaji wa ngono zembe ni chanzo cha HIV be care UKIMWI upo!
Good good chief nimekuelewa zaidi hapo kwenye game kuwa tam siku yakuwa na Dem mpya! inaonekana nawe ni mwanachama mwenzetu maana umepiga mlemle ! shukrani kwa ushauri wakitaalam stay blessed
 
Habari zenu wakuu.. wote tunajua kwamba maambukizi ya UKIMWI husababishwa na muingiliano wa damu kati ya muathirika na asiye athirika

Moja kati ya kisababishi kikubwa ni kufanya mapenzi.. lakini pia tuna shauriwa kumuandaa mwanamke vizuri ili uke wake uwe raini lengo michubuko isitokee wakati wa tendo..

Now days watu mbali mbali wanapata mafuta mgando kwenye uume (mkuyenge) na uke (papuchi) ili kutengeneza Mterezo wakati wa tendo ambayo huzuia michubuko...

Je! Kwa utalaam wenu wadau huyu mtu anaye tumia mafuta ya mgando ama virainishi vyovyote anaweza salimika na virusi vya ukimwi?
Sasa Ngoja tuelezane kuhusu HIV and AIDS.
Kwa jina naitwa Sindai Mabula
Mm ninafanya kazi Care and treatment clinic yaan CTC under MDH ownership Kwa msaada wa shirika la Maendeleo la marekani USAID fund.
1)Mtu anaweza kuwa na maambukiz ya VVU bila kuwa na upungufu wa kinga mwilini yaan UKIMWI.
Huyu ni mtu ambaye kinga ya mwili yaan CD4 cells zipo juuu angali mzigo wa virusi yaan viral load upo chini ya 50copies. Tunawaita stable clients na huchukua dawa za miezi mitatu mitatu.
Pia wale ambao wingi wa virusi yaan viral load upo chini ya elfu moja lakini ni zaidi ya hamsini nao wana maambukizi ya virusi bila kuwa na upungufu wa kinga mwilini ila hawana sifa za kuchukua dawa za miezi mitatu bali huchukua dawa za miezi miwili miwili.
Watu hawa ni ngumu kuambukiza wengine kwa kufanya ngono pasipo kutumia condom pindi mazingira ya via vya uzazi vya wanawake vitakuwa nyevunyevu. Wapo wengi tuuu ktk hali hii ambao huishi na wenza wapo pasipo kuambukiza wengine. Mtu akiwa ktk dawa ni ngumu kuambukiza wengine kwa sababu dawa hizi humzuia kirusi asipate nguvu ya kuzaliana na kusambaa mpaka maji mengine ya mwilini pindi dawa na Ushauri wetu unapofuatwa Kwa ufasaha.
2)Maambukizi ya VVU Pamoja na upungufu wa kinga mwilini UKIMWI.
Hawa ni watu ambao CD 4 cells zipo chini ya 350 na wingi wa virusi yaan viral load mwilini ni kuanzia 1000copies na kuendelea.
Hawa ni hatari Sana kwa kuambukiza wengine pindi wanapofanya ngono zembe
Hawa tunawaweka ktk uangalizi wa miezi mitatu ktk matibabu. Huchukua dawa za Mwezi Mwezi.
Hawa wana virusi Pamoja na ukimwi.
Ni hatari hata km via vya uzazi ni nyevunyevu.
3)Mafuta na Nyevunyevu
HIV hana chanzo cha kumsaidia kujongea km flagellum kwa bacteria, Cilia Kwa amoeba.
Yeye hutegemea medium nyingne ili ajongee na kuingia mtaa mwingine yaan Maambukizi.
Mfano wa medium ni blood contact, genital fluid penetration from mtu mwenye virusi vingi km maji maji ya ukeni
Mafuta yana viscosity kubwaaaaa ukilinganisha na maji maana yake ni ngumu kwa kirusi kutembea kwenye mafuta ukilinganisha na maji.
Kwa hyo matumizi ya mafuta yana Usalama mkubwa ukilinganisha na unyevunyevu ukeni.
Hii nimetoa kwa wale ambao hamtaki Matumizi ya condom mwanzo mwisho.
4)Matumizi ya Arv drugs
Dawa hizi tunawapa pia watu ambao hufanya biashara ya ngono kuzitumia kila siku angali hawana maambukizi ili wasipate maambukiz pindi wanapofanya biashara zao iwapo wateja wao hawapendi condom.
Atalazimika kuziacha pindi atakapoamua kutumia condom throughout.
Ni dawa zilezile wanaotumia wateja
Huitwa PREP yaan pre exposure prophylaxis
My number 0692012703
Nipo wilaya ya Temeke kikazi
Nicheki iwapo unahitaji Ushauri zaidi


Mtu huyu hana dalili yoyote
 
Sasa Ngoja tuelezane kuhusu HIV and AIDS.
Kwa jina naitwa Sindai Mabula
Mm ninafanya kazi Care and treatment clinic yaan CTC under MDH ownership Kwa msaada wa shirika la Maendeleo la marekani USAID fund.
1)Mtu anaweza kuwa na maambukiz ya VVU bila kuwa na upungufu wa kinga mwilini yaan UKIMWI.
Huyu ni mtu ambaye kinga ya mwili yaan CD4 cells zipo juuu angali mzigo wa virusi yaan viral load upo chini ya 50copies. Tunawaita stable clients na huchukua dawa za miezi mitatu mitatu.
Pia wale ambao wingi wa virusi yaan viral load upo chini ya elfu moja lakini ni zaidi ya hamsini nao wana maambukizi ya virusi bila kuwa na upungufu wa kinga mwilini ila hawana sifa za kuchukua dawa za miezi mitatu bali huchukua dawa za miezi miwili miwili.
Watu hawa ni ngumu kuambukiza wengine kwa kufanya ngono pasipo kutumia condom pindi mazingira ya via vya uzazi vya wanawake vitakuwa nyevunyevu. Wapo wengi tuuu ktk hali hii ambao huishi na wenza wapo pasipo kuambukiza wengine. Mtu akiwa ktk dawa ni ngumu kuambukiza wengine kwa sababu dawa hizi humzuia kirusi asipate nguvu ya kuzaliana na kusambaa mpaka maji mengine ya mwilini pindi dawa na Ushauri wetu unapofuatwa Kwa ufasaha.
2)Maambukizi ya VVU Pamoja na upungufu wa kinga mwilini UKIMWI.
Hawa ni watu ambao CD 4 cells zipo chini ya 350 na wingi wa virusi yaan viral load mwilini ni kuanzia 1000copies na kuendelea.
Hawa ni hatari Sana kwa kuambukiza wengine pindi wanapofanya ngono zembe
Hawa tunawaweka ktk uangalizi wa miezi mitatu ktk matibabu. Huchukua dawa za Mwezi Mwezi.
Hawa wana virusi Pamoja na ukimwi.
Ni hatari hata km via vya uzazi ni nyevunyevu.
3)Mafuta na Nyevunyevu
HIV hana chanzo cha kumsaidia kujongea km flagellum kwa bacteria, Cilia Kwa amoeba.
Yeye hutegemea medium nyingne ili ajongee na kuingia mtaa mwingine yaan Maambukizi.
Mfano wa medium ni blood contact, genital fluid penetration from mtu mwenye virusi vingi km maji maji ya ukeni
Mafuta yana viscosity kubwaaaaa ukilinganisha na maji maana yake ni ngumu kwa kirusi kutembea kwenye mafuta ukilinganisha na maji.
Kwa hyo matumizi ya mafuta yana Usalama mkubwa ukilinganisha na unyevunyevu ukeni.
Hii nimetoa kwa wale ambao hamtaki Matumizi ya condom mwanzo mwisho.
4)Matumizi ya Arv drugs
Dawa hizi tunawapa pia watu ambao hufanya biashara ya ngono kuzitumia kila siku angali hawana maambukizi ili wasipate maambukiz pindi wanapofanya biashara zao iwapo wateja wao hawapendi condom.
Atalazimika kuziacha pindi atakapoamua kutumia condom throughout.
Ni dawa zilezile wanaotumia wateja
Huitwa PREP yaan pre exposure prophylaxis
My number 0692012703
Nipo wilaya ya Temeke kikazi
Nicheki iwapo unahitaji Ushauri zaidi


Mtu huyu hana dalili yoyote
Asa mchubuko wowote unaambukiza HIV au mpaka damu itoke maana kuna layer za ngozi zipo tatu sijajua hipi inayo ambukiza kirahisi
 
Asa mchubuko wowote unaambukiza HIV au mpaka damu itoke maana kuna layer za ngozi zipo tatu sijajua hipi inayo ambukiza kirahisi
Mchubuko wowote ule ni njia rahisi Sana kwa kirusi hiki kupenya bcoz wanapita kwenye layer yyt ambayo imewazuia microorganisms wote km bacteria, plasmodium etc. Wanachohitaji ni medium tuu ili watembee. Ukipata bruise yaan mchubuko wowote ule kutoka kwa mtu mwenye Maambukizi ya virusi bila ukimwi au mwenye ukimwi pia yakupasa uwahi kituo cha afya Kilichopo Karibu nawe ili upate huduma ya kuzuia maambukizi. Unachopaswa kufanya kwenye jeraha ni kumwagia maji eneo hilo yanayotiririka pasipo kusugua. Usiweke kemikali yyt ile. Nenda hospital haraka Uelewe mwanzo mwisho. Utapimwa siku hyo na ukiwa upo salama utaanzishiwa huduma ya mwezi mmoja. Tunashauri ikiwezekana siku hyo ufike hospital na yasizidi masaa 72 tangu tukio kimetokea. The earlier the better
 
Mkuu mimi uwa situmii kondomu ila na uwa namwandaa sana demu maji yanatoka alafu natumia kama dakika moja nikikojoa natoka, vp hapa kuna usalama?
 
Mkuu mimi uwa situmii kondomu ila na uwa namwandaa sana demu maji yanatoka alafu natumia kama dakika moja nikikojoa natoka, vp hapa kuna usalama?
Kitaalam
Popote palipo na uwezekano wa kupatwa na ugonjwa tunasema, The longer the time of exposure the higher the risk of disease contact.
Mtu akiwa ktk Mapenzi Kwa muda mrefu na mtu mwenye Maambukizi km HIV, gonorrhea, syphilis, genital warts unakuwa kwenye hatari kubwa za kuondoka na Maambukizi ukilinganisha na mtu aliyekaa Kwa muda mfupi km ulioutaja ww.
Mambo ya kukomoana kupiga bao nyingi ni risk kubwaaaaa kupata STIs zote. Usalama upo pia kwa kuanza kutumia kondom then ukihisi unataka kumwaga internally unaweza kufanya hvyo kwa kuvua condom na ukapiga faster ndani ya dakika chache zisizozidi Saba mpaka kumi uwe Umemaliza. Huwa tunawapa Ushauri huu wenza wawili ambao wanataka mtoto angali mmoja ni HIV positive
 
Lengo la kutumia condom ni kutengeneza mazingira magumu kwa kimelea kutembea ukilinganisha na unyevunyevu. Njia hyo ina highest preventive measures ukilinganisha na unyevunyevu
Mkuu mimi uwa situmii kondomu ila na uwa namwandaa sana demu maji yanatoka alafu natumia kama dakika moja nikikojoa natoka, vp hapa kuna usalama?
 
Back
Top Bottom