Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,055
Habari zenu wakuu.. wote tunajua kwamba maambukizi ya UKIMWI husababishwa na muingiliano wa damu kati ya muathirika na asiye athirika
Moja kati ya kisababishi kikubwa ni kufanya mapenzi.. lakini pia tuna shauriwa kumuandaa mwanamke vizuri ili uke wake uwe raini lengo michubuko isitokee wakati wa tendo..
Now days watu mbali mbali wanapata mafuta mgando kwenye uume (mkuyenge) na uke (papuchi) ili kutengeneza Mterezo wakati wa tendo ambayo huzuia michubuko...
Je! Kwa utalaam wenu wadau huyu mtu anaye tumia mafuta ya mgando ama virainishi vyovyote anaweza salimika na virusi vya ukimwi?
Moja kati ya kisababishi kikubwa ni kufanya mapenzi.. lakini pia tuna shauriwa kumuandaa mwanamke vizuri ili uke wake uwe raini lengo michubuko isitokee wakati wa tendo..
Now days watu mbali mbali wanapata mafuta mgando kwenye uume (mkuyenge) na uke (papuchi) ili kutengeneza Mterezo wakati wa tendo ambayo huzuia michubuko...
Je! Kwa utalaam wenu wadau huyu mtu anaye tumia mafuta ya mgando ama virainishi vyovyote anaweza salimika na virusi vya ukimwi?