Je maamuzi haya yatakua sahihi?

hebu kuwa wazi wewe una umri gani maana kusema tu kijana wa makamo haitoshi ... pia huoni kwamba yuko chini ya miaka 18 wewe hapo unawezia jinsi ya kumpata kwa nini usimsaidie kimawazo masuala ya shule kwanza asome???
miaka 36 tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom