Je, Lowassa akiamua kurudi CCM, CCM itamkataa?

Je, Lowassa akiamua kurudi CCM, CCM itamkataa?

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,936
Reaction score
5,209
1. Mwapachu aliwatukana akahama na baadae akarudi akapokelewa kwa mikono miwili.

2. Wasira aliwahi kuhamia NCCR Mageuzi na kuituhumu ccm kwa rushwa lakini aliporudi alipokelewa na kupewa uwaziri katika awamu mbili tofauti za uongozi.
3. polepole aliwahi kusikika akisema uchaguzi ukiwa guru na Wa haki ccm ijiandae kukabidhi madaraka, lakini alipogeukia huko harakaharaka alipokelewa na kupewa vyeo rukuki na sasa no katibu itikadi na uenezi Wa chama.
4.
5.
6

Je kwa mifano hiyo pamoja na kwamba wanambeza Lowassa, ikitokea akaamua kurudi huko, je atakataliwa?
 
Kila mtu ana uhuru wa kuwa mwanachama wa chama chochote kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya tanzani. wakirudi watapokelewaaa
 
1. Mwapachu aliwatukana akahama na baadae akarudi akapokelewa kwa mikono miwili.

2. Wasira aliwahi kuhamia NCCR Mageuzi na kuituhumu ccm kwa rushwa lakini aliporudi alipokelewa na kupewa uwaziri katika awamu mbili tofauti za uongozi.
3. polepole aliwahi kusikika akisema uchaguzi ukiwa guru na Wa haki ccm ijiandae kukabidhi madaraka, lakini alipogeukia huko harakaharaka alipokelewa na kupewa vyeo rukuki na sasa no katibu itikadi na uenezi Wa chama.
4.
5.
6

Je kwa mifano hiyo pamoja na kwamba wanambeza Lowassa, ikitokea akaamua kurudi huko, je atakataliwa?
Hao waliorudi mpaka sasa unawaonaje na impact yao?? Wamepuuzwa!!
 
Ukiskia kifo cha kisiasa ndio hicho sasa!?
Kumpokea watampokea lkn kwa sababu wanajua anataka urais hawatamruhusu kupata fursa ya kugain attention ya watu atabakia kuwa mwanachama wa kawaida daima na hatutamsikia teeena
 
Lowasa akirudi ccm Chadema watapumua sana....kwa jinsi alivyowabana wanatamani hata leo atangaze kustaafu siasa.
 
Lowasa akitaka kuheshimika na CCM na TAIFA kwa ukumla, siyo kurudi huko ila ni kuacha upinzani wa maendeleo yanayofanywa na Rais aliyeko madaraka.
Akiwa hukoko upinzan,i anatakiwa awe karibu na RAIS kwa ajili ya kumshauri na kumsaidia katika kujenga inchi na siyo kupinga na kukosoa kila kitu anachofanya Rais.
Kutokana na afya yake aliyonayo sasa akirudi CCM atakuwa hana cha kufanya ila tu CCM wataendelea kumuuguza kama wanavyofanya kwa Lyatonga Mrema.
 
Lowasa akirudi ccm Chadema watapumua sana....kwa jinsi alivyowabana wanatamani hata leo atangaze kustaafu siasa.

Naunga mkono hoja. Sasa cdm itapumua kwa kiasi fulani. Huyu mzee alikua ni msaada sana kwa cdm wakati wa uchaguzi mkuu wa 2015. Baada ya uchaguzi naamini aligeuka na kuwa mzigo.
 
Back
Top Bottom