Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,548
Sote ni mashahidi wa namna Klopp ameibadili Liverpool, ameibadili kutoka mediocrity hadi kuwa miongoni wa zile Timu tishio ulaya.
Kikwazo pekee kwenye mafanikio ya Klopp ni kiu ya Premier League ambayo hawajaipata Tangia Rais wa Tz akiwa Mzee Mwinyi, na anayeonekana kumzuia ni Pep Guardiola.
Jana wote tumeona game yenye ushindani mkali sana kati ya Pep na Klopp, game ilikuwa kali sana ila iliharibiwa na refa ambaye alikataa katu katu kutumia teknolojia licha ya matukio mbali mbali uwanjani na imekuwa mfululizo wa maamuzi mabaya ya marefa dhidi ya Man city.
Kwa muenendo wa jana nadhani kuna campaign dhidi ya Man city ambayo mosi, wasichukue EPL mara 3 mfululizo ambapo itaharibu dhana ya ugumu wa Premier League na pili Liverpool wachukue ubingwa na wafute mwiko wa kutolichukua kombe kwa muda mrefu.
Kwa hali hii, unadhani mbinu za figisu dhidi ya Man City na Pep zitafaulu?
Kikwazo pekee kwenye mafanikio ya Klopp ni kiu ya Premier League ambayo hawajaipata Tangia Rais wa Tz akiwa Mzee Mwinyi, na anayeonekana kumzuia ni Pep Guardiola.
Jana wote tumeona game yenye ushindani mkali sana kati ya Pep na Klopp, game ilikuwa kali sana ila iliharibiwa na refa ambaye alikataa katu katu kutumia teknolojia licha ya matukio mbali mbali uwanjani na imekuwa mfululizo wa maamuzi mabaya ya marefa dhidi ya Man city.
Kwa muenendo wa jana nadhani kuna campaign dhidi ya Man city ambayo mosi, wasichukue EPL mara 3 mfululizo ambapo itaharibu dhana ya ugumu wa Premier League na pili Liverpool wachukue ubingwa na wafute mwiko wa kutolichukua kombe kwa muda mrefu.
Kwa hali hii, unadhani mbinu za figisu dhidi ya Man City na Pep zitafaulu?