ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,084
Habarini za muda huu wadau.
Kuna mtu alishawahi kuniambia kuwa KY jelly zinazotumika kulainishia sehem za siri wakati wa kujamiiana zinaweza kutumika kuzuia mimba, je kwa wanaofahamu ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu alishawahi kuniambia kuwa KY jelly zinazotumika kulainishia sehem za siri wakati wa kujamiiana zinaweza kutumika kuzuia mimba, je kwa wanaofahamu ni kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app