Je, Kwanini mechi ya Yanga na Mamelodi ni gumzo zaidi hapa Afrika?

Kwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFF
Mpaka mtu aelewe, ni lazima uje na maelezo marefu kweli kweli! Ila kiukweli Ligi ya Mabingwa, inatakiwa kuwahusisha Mabingwa wa nchi pekee! Na siyo kuwahusisha viti maalum.
 
Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......

Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao

Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.

Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?

View attachment 2939896
Africa wapi?sema huko kwenu bongo tu!
 
Back
Top Bottom