Ahya poa, siku nazo hazigandi hata wewe utakaposhangazwa.WACHA UFOO,HAKUNA MTU ANAYESHANGAA BALI MECHI INAZUNGUMZIWA SANA NA MAONGEZI HAYO HAYAONESHI WATU KUSHANGAA BALI WATU WANA HAMU NA KANDANDA SAFI WATAKALOLIONA SIKU HIYO
Tuache utani Jamani, kujiamin kwenye hakuna ni kujitangazia anguko.Hapana mkuu ...wote ni miamba ya soka
Kwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFFNi kwa sababu hiyo mechi inawahusu Mabingwa wa nchi! Siyo kama wale wengine wanaoshiriki kupitia viti maalum.
AtapagwaKwa sababu Yanga atafungwa goli nyingi hapa kwa Mkapa na kule ugenini apagwa kama ngoma
NITASHANGAA ENDAPO TU MAMELODI ATAMTOA YANGAAhya poa, siku nazo hazigandi hata wewe utakaposhangazwa.
Mpaka mtu aelewe, ni lazima uje na maelezo marefu kweli kweli! Ila kiukweli Ligi ya Mabingwa, inatakiwa kuwahusisha Mabingwa wa nchi pekee! Na siyo kuwahusisha viti maalum.Kwamba hilo ní jasho lao kwà kuingia mara kwà mara robo fainali sio wale wanaochukuaga ubingwa kwahisani za akina Malinzi aliyeitangazia dunia kamwe SIMBA haiwezi kuchukua ubingwa yy akiwa Rais wa TFF
Hilo si jambo la kusubir ni jambo la kuaminika kabisa.NITASHANGAA ENDAPO TU MAMELODI ATAMTOA YANGA
Africa wapi?sema huko kwenu bongo tu!Nimefanya utafiti Baada ya droo za CAFCL kutoka tarehe 12 na nimepata kugundua kuwa mechi ya Yanga na mamelodi ndio mechi inayoteka hisia zaidi kuliko Even mechi zote ......
Makolo pia wameendelea kuingia kwenye mfumo wa Yanga Kwa kuzungumzia mechi hii zaidi ....huku wengine wakisahau yao
Takwimu: Kwenye Kila wa Tanzania 10, 7 kati yao wanaizungumzia Yanga zaidi.
Je tatizo ni ukubwa wa hizi timu, playing style zake?
View attachment 2939896
Africa gumzo ni ES Tunis Vs AtreticoAfrica mkuu