Je, kwanini Mashabiki wa Simba walitaka refa atolewe sub

Je, kwanini Mashabiki wa Simba walitaka refa atolewe sub

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
22,856
Reaction score
32,659
#CRDBFACup Leo kuna watu wanatamani hadi refa afanyiwe SUB

Jana mechi ikiendelea Mashabiki wa Simba walirise Kwa kurusha chupa uwanjani huku wakiimba refa atolewe sub

Je nikweli bila nguvu za refa Simba huwa hawatoboi
1748758609473.jpg
 
Gemu ya maelekezo ile.. ingawa walitakiwa kufungwa 1:0, madogo wameshindilia kutokana na nafasi wwlizopata
 
#CRDBFACup Leo kuna watu wanatamani hadi refa afanyiwe SUB

Jana mechi ikiendelea Mashabiki wa Simba walirise Kwa kurusha chupa uwanjani huku wakiimba refa atolewe sub

Je nikweli bila nguvu za refa Simba huwa hawatoboiView attachment 3352540

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Katika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.
 
Katika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.
Leta hiyo clip ya Hersi akiwapa maelekezo hayo Makocha tofauti na hivyo utakuwa ni mdomo wa yule ZUBEDA NDALA NDEFU
 
Simba jana alijilegeza ili asiende fainali. Kuna uwezekano pia walipanga matokeo, hivyo uchunguzi ufanyike mara moja. Haiwezekani SBS wawafunge goli 3 - 1, na wakati siku chache tu zilizopita waliwafunga goli 1-0!
 
Back
Top Bottom