Ni sahihi mkuuSimba imebebwa mechi nyingi sana za ligi.
Za karibuni labisa ni kwa Mashujaa & Singida. Simba hakutakiwa kuwa na points alizonazo. Nyingi ni za marefa.
Awapi wewGemu ya maelekezo ile.. ingawa walitakiwa kufungwa 1:0, madogo wameshindilia kutokana na nafasi wwlizopata
Kabisa mkuuTamaa za vihela vidogo vidogo zitaendelea kuwanyika ulaji marefa wengi wa bongo huko CAF.
ARAJIGA NI MMOJA TU.
Ndo nani huyoMi nilipoona team kapewa Zubeda nikajua hapa lazima shida iwepo
Sasa ndio unaona mashabiki wameshakuwa waswahili Swahili na wanadeka kama Zubeda
CEO anaitwa Zubeda
Katika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.#CRDBFACup Leo kuna watu wanatamani hadi refa afanyiwe SUB
Jana mechi ikiendelea Mashabiki wa Simba walirise Kwa kurusha chupa uwanjani huku wakiimba refa atolewe sub
Je nikweli bila nguvu za refa Simba huwa hawatoboiView attachment 3352540
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Leta hiyo clip ya Hersi akiwapa maelekezo hayo Makocha tofauti na hivyo utakuwa ni mdomo wa yule ZUBEDA NDALA NDEFUKatika misimu hii mitatu hakuna team iliyonufaika na marefa kama yanga tangia kipindi cha nabi ndio makocha wanakimbia maana engineer hersi anawaambia sisi hatushindi kwasababu yako.
Malalamiko fc kwenye ubora wake.Leta hiyo clip ya Hersi akiwapa maelekezo hayo Makocha tofauti na hivyo utakuwa ni mdomo wa yule ZUBEDA NDALA NDEFU
JINA lake tu linaonesha ni mkulimaCEO anaitwa Zubeda