Je kwa kozi ya community health naweza kusomea?

May 30, 2017
49
15
Nilimaliza sekondary 2012 na kupata points 28 kwa D ya masomo 7 yani bios,geog,civcs,history kisw,book keeping,commerce .Je kwa koz ya community health naweza somea?? Or ni koz ipi naweza somea yenye market?

Ahsanteni!
 
Nilimaliza sekondary 2012 na kupata points 28 kwa D ya masomo 7 yani bios,geog,civcs,history kisw,book keeping,commerce .Je kwa koz ya community health naweza somea?? Or ni koz ipi naweza somea yenye market?

Ahsanteni!
Soma diploma in health information science
Wanahitaji pass angalau 4 yaani kuanzia D ikiwemo mathematics,biology na English

Pili certificate ya community health. Ambayo wanahitaji D angalau 4 ikiwemo biology
Ukiapply katika vyuo vitano changanya unaweza anza na hiyo diploma ya health information ukachagua ata vyuo viwili then community health vyuo vitatu
Maana wanaruhusu machaguo ma 5
Cheki guidebook ya NACTE kwa koz za afya especially nilizozitaja sifa unazo usiofu
Kila lakheri mdogo wangu
 
Soma diploma in health information science
Wanahitaji pass angalau 4 yaani kuanzia D ikiwemo mathematics,biology na English

Pili certificate ya community health. Ambayo wanahitaji D angalau 4 ikiwemo biology
Ukiapply katika vyuo vitano changanya unaweza anza na hiyo diploma ya health information ukachagua ata vyuo viwili then community health vyuo vitatu
Maana wanaruhusu machaguo ma 5
Cheki guidebook ya NACTE kwa koz za afya especially nilizozitaja sifa unazo usiofu
Kila lakheri mdogo wangu
Nashukuru mkuu
 
Soma diploma in health information science
Wanahitaji pass angalau 4 yaani kuanzia D ikiwemo mathematics,biology na English

Pili certificate ya community health. Ambayo wanahitaji D angalau 4 ikiwemo biology
Ukiapply katika vyuo vitano changanya unaweza anza na hiyo diploma ya health information ukachagua ata vyuo viwili then community health vyuo vitatu
Maana wanaruhusu machaguo ma 5
Cheki guidebook ya NACTE kwa koz za afya especially nilizozitaja sifa unazo usiofu
Kila lakheri mdogo wangu
Hawez akasoma Diploma wakati ana D4 za O'level.
Mpaka asome certificate kwanza au A'level ndio asome Diploma If matokeo ya A'level hayakuwa mazur
 
Hawez akasoma Diploma wakati ana D4 za O'level.
Mpaka asome certificate kwanza au A'level ndio asome Diploma If matokeo ya A'level hayakuwa mazur
Acha ubishi kijana rejea guidebook utaona hiyo quarification ya diploma in health information science inasemaje
Kuna vyuo vinne tu vya serikali vinatoa hiyo kozi
Pitia ile guidebook afu uje hapa ubishe
Primary healthccare mile chuo kilichopo iringa wanayo
Na vinginevyo ebu pitia then njoo ubishe
 
Soma diploma in health information science
Wanahitaji pass angalau 4 yaani kuanzia D ikiwemo mathematics,biology na English

Pili certificate ya community health. Ambayo wanahitaji D angalau 4 ikiwemo biology
Ukiapply katika vyuo vitano changanya unaweza anza na hiyo diploma ya health information ukachagua ata vyuo viwili then community health vyuo vitatu
Maana wanaruhusu machaguo ma 5
Cheki guidebook ya NACTE kwa koz za afya especially nilizozitaja sifa unazo usiofu
Kila lakheri mdogo wangu
Iv ni health records au health information
maana hapa KCMC kuna madogo tunasali nao wakaniambia wanasomea kuhusu health records/medical records
 
Back
Top Bottom