DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Mawakili wakinyukana kwa vifungu vya sheria, kama kuna kosa la kisheria kutishia au kujaribu kuzuia uchaguzi uliopangwa kwa mujibu wa sheria..?
Kuhasisha watu wasipige kura siyo kosa.Mawakili wakinyukana kwa vifungu vya sheria, kama kuna kosa la kisheria kutishia au kujaribu kuzuia uchaguzi uliopangwa kwa mujibu wa sheria..?