Je kuna yeyote aliyeielewa hii picha

sikutegemea kama ntakuta jibu kama hili...asante fundi....ata sku ile msiba wa masogange,diamond alivomsalimia kiba wakasema kiba kaficha kiganja iki asiibiwe nyota...mond ana degree tano,so ni master mason,,na ndo vile anatakiwa kumsalimia member wa chini yake(ali k)
Kwahiyo wewe umeacha
 
sikutegemea kama ntakuta jibu kama hili...asante fundi....ata sku ile msiba wa masogange,diamond alivomsalimia kiba wakasema kiba kaficha kiganja iki asiibiwe nyota...mond ana degree tano,so ni master mason,,na ndo vile anatakiwa kumsalimia member wa chini yake(ali k)
Kwani Ali k naye yupo kule?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom