Je, kuna urafiki wa mwanamke na mwanaume?

Je, kuna urafiki wa mwanamke na mwanaume?

Apendeki2

Senior Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
161
Reaction score
77
Hodi humu jamani

Tusaidiane inawezekana mwanamke/ msichana akawa na urafiki na mwanaume/ mvulana wakawa just friends na wasiwe na mahusiano ya kimapenzi?

Nimeuliza hivyo kwa sababu yamenikuta.

Nilikuwa na rafiki tu charting, ila sasa anaelekea sipo hata msg zake zimebadirika mfano mvua ikinyesha atatuma sms eti " vipi hali ya mvua unaionaje, nije" mh Sasa rafiki ukija na hii mvua itakuwaje?

Ni hayo wadau tusaidiane ili siku nyingine nisiingie kichwa kichwa eti MY FRIEND
 
Upo urafiki huo;lakini kwa muonekano huo wa nje huyo rafiki yako alikupenda kimapenzi lkn akaona akikwambia mapema utamtusi au utamdharau ndiyo maana akaanza kwa style ya urafiki tu.
 
Wapo wachache wenye urafiki bila kuwa na mahusiano ya kimapenzi lakini ni 10 kwa 1.
 
Urafiki unawezekana sana ila inatakiwa kuwa makini
 
Haya masuali mengine jaribu kusearch,hili jambo limeshajadiliwa sana
 
Ila mkiwa marafiki kuna siku mtakuja kulana vzr!!! hadi kila mtu atahoji kwnn tumecheleweshana?
Me kuna mdada alikuwa bonge la best,siku hiyo mpaka tunataka kutawanyika kwenda kulala tu marafiki bado,HAMADI kautani twende ukalale kwng yani yy aliniambia hivo ndo kakaharibu tukalana sn.
Nilipofika kwa bed nililala,mara ooh unajua ww mdogo wng,mara hauniwezi.Weee asubuhi alikuwa anaogopa kwenda haja ndogo misuguo!!!!
 
Back
Top Bottom