Habar za wakati huu jf doctors, niende moja kwa moja kwenye mada. Nimewasikia wataalam wengi wa tiba asilia wakihusisha ugonjwa wa ngiri na kusinyaa au kumezwa kwa maumbile ya kiume.
Watu wengi wanaoenda kutafuta tiba ya maradhi yanayohusiana na jinsi ya kiume wamekutana sana na jambo hilo, wataalam naomba mtufute ujinga
Watu wengi wanaoenda kutafuta tiba ya maradhi yanayohusiana na jinsi ya kiume wamekutana sana na jambo hilo, wataalam naomba mtufute ujinga