Sali Mungu akupunguzie maumivu na uendelee na maisha yako na akupe mwelekeo aliokupangia. Labda huyo alikuwa sio wako. Pole utamsahau, usimlilie au kumsumbua na simu mwache aende.
Ukitaka usiumie tena kwny game la mapenzi kuwa nao zaidi hata ukiachwa hutoumia kabisa.ila kwa kujifanya unampenda na kuwa mwaminifu kwake ndo madhara yake hayo..shukuru mungu hujajiua au kuua mana mapenzi yanaua sana
Maumivu ya mapenzi hayapunguzwi kwa kusali mzurimie.we tafuta mwngne wa kuziba pengo haraka ....la cvyo hata ukisala ucku na mchana maumivu yako pale pale
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.