Habari zenu wakuu! Naombeni kufahamishwa kama kuna Tape Measure "futi" yenye urefu wa atleast mita 70!? Na kama ipo ni how much bei yake? Ni hilo tu wakuu. Wenu katka ujenzi wa Taifa, Deograthias aka Second Fiddle! Thanks.
Ndo mmeamua kuuchuna mpaka niende kichwakichwa mwenyewe kwenye duka la hardware nikaibiwe? Kuweni wastaarab basi tuelekezane bure tu, au mpaka muahidiwe papuchi? maana mm namiliki ndanguro!
Ndo mmeamua kuuchuna mpaka niende kichwakichwa mwenyewe kwenye duka la hardware nikaibiwe? Kuweni wastaarab basi tuelekezane bure tu, au mpaka muahidiwe papuchi? maana mm namiliki ndanguro!
Habari zenu wakuu! Naombeni kufahamishwa kama kuna Tape Measure "futi" yenye urefu wa atleast mita 70!? Na kama ipo ni how much bei yake? Ni hilo tu wakuu. Wenu katka ujenzi wa Taifa, Deograthias aka Second Fiddle! Thanks.
Zipo hadi zaidi ya meta 100, ila kwa mahitaji yako itabidi uchukue ya meta 100, mimi nilinunua mwaka ya meta 50 kwa elfu 6 na mia 5. Hiyo ya mia inaweza kuwa zaidi ya elfu kumi. Zinapatikana kwenye maduka yanayouza vifaa vya ujenzi.