Je, kuna sindano za Typhoid?

Je, kuna sindano za Typhoid?

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
477
Wakuu nimekuwa nikisumbuliwa na typhoid kwa muda mrefu. Natumiaga dawa aina ya Ciprofloxciline siponi.

Je, kuna sindano za typhoide?

Msaada please.
 
Wakuu nimekuwa nikisumbuliwa na typhoid kwa muda mrefu.Natumiaga dawa aina ya Ciprofloxciline siponi.Je kuna sindano za typhoide?Msaada please

pole mkuu typhoid fever aina intra muscular/venous injection(sindano) bali yaweza tibika kwakutumia antibiotic waweza tumia dawa zilizoko kwenye secondary line of treatment kama(streptomycin..cotrimoxazole 25mg/kg...azythromycne) NOTE huwezi tumia antbiotic tajwa hapo juu bila kuwa umefanyiwa CULTURE...au uwe na history ya salmonela drugs resistance.

tukirudi kwenye tatizo lako la typhoid fever kuto kupona..nikwamba mara nyingi mtu huwa complete cure from typhoid( enteric fever) baada ya week 6-miezi 6.. hii nikutokana kwamba baada yaku pata treatment ya typhoid vijududu vyote vienezao typhoid(salmonella paratyphi A,B,C,D) hufa bali huacha antbody (Flagella& somatic Ag) hambazo huendelea kukufanya ujiskie kuumwa na kwakua kipimo ambacho kiko.

Karibu kwenye kila hospital ni WIDAL TEST ambacho hu detect antbody basi ukipimwa kila sku utakiwa unaonekana +ve..!

NB: ili uweze jua kama una typhod nilazima ufanyiwe blood culture hiuo ndo only cornfimatory test ya typhoid..vinginevyo kila sku utaonekana na typhoid...na antbiotic kilasku ita zitafuna.
 
Wakuu nimekuwa nikisumbuliwa na typhoid kwa muda mrefu.Natumiaga dawa aina ya Ciprofloxciline siponi.Je kuna sindano za typhoide?Msaada please

Mkuu hizi dawa ni nzuri sana nakushauri hata mim ndo natumia kama unakunywa unatakiwa kula sana kaka na maji ya kutosha unapona pia fuata mpangilio wa dawa.
 
Je;
1.Ulipata dalili gani za typhoid na kwa muda gani?
2.Je ulipima kipimo gani na majibu yalikuwa ni nini?
3.Ciprofloxacine ulimeza dozi gani na kwa siku ngapi?
4.Umefanyiwa uchunguzi wa afya yako kuangalia magonjwa mengine yanayoweza kuleta homa kama UTI ,Pneummonia ,TB ,HIB au Malaria?
 
Pole sana, labda kabla ya ku shauri dawa unisaidie hizi taarifa

1. Ulitibiwa Hospitali, Kituo cha Afya, Zahanati, maabara, au Duka la dawa?

2. Hiyo Typhoid iligunduliwaje?

Haya maswali no muhimu kama unataka ushauri utakao kusaidia. Watu wanaotibiwa magonjwa ya "kupachikwa" na kutumia dawa zisizokuwa za ugonjwa husika ni wengi sana.
 
Wakuu nashukuru sana kwa ushauri wenu.

Sorry kwa kuchelewa kujibu.Dalili kubwa ni mwili kukosa nguvu,kichwa kuuma, kupepesuka, tumbo kuuma na kunguruma, joto mwilini hata kama kuna baridi, mwili kusisimka mara kwa mara,kichwa kuwa kizito. Nimepima sukari, BP, UTI, Choo, wingi wa damu, malaria, full blood picture na widal test.Vyoote vilikuwa kawaida au negative isipokuwa wild test ilionesha scale ya 1:160 na 1:160.Dr akaniambia ni tyhoid.

Tatizo langu kubwa ni kwamba aliniandikia cipro na nikizitumia tumbo linawaka moto sana licha ya kwamba nakula vizuri ndipo ninameza dawa.Pia nikimaliza dozi ya siku 10 nakaa wiki 2 au 3 hali inajirudia n nikipim naambiwa typhoid.Sasa swali na msaada ni kuwa nifanyeje ili typhoid iishe?Mazingira ya vyakula nikonayo makini sana.Je sindano zake zipo?
 
definition,
mkuu kama nakuelewa hivi, sasa hizo antibody zinamalizwaje!? Mimi pia nimechoka na dawa za typhoid!
 
Wakuu nimekuwa nikisumbuliwa na typhoid kwa muda mrefu.Natumiaga dawa aina ya Ciprofloxciline siponi.

Je kuna sindano za typhoide?

Msaada please.

Meza clorophenical vidonge 84 kwa wiki mbli ni tiba nzuri sanaa hafu acha kunywa Maji bila kuchemsha pia nini dawa asilia nzuri sanaa Ni pM kwa maelezo zaidi
 
mkuu kama nakuelewa hivi, sasa hizo antibody zinamalizwaje!? Mimi pia nimechoka na dawa za typhoid!

hazi wezi kuisha...mwlini zna kuwepo kwa mda mrefu na karbu kila mkoa una range zake hii ni ku maanisha kuwa nu ngumu sana kumkosa mtu na typhod na maanisha lazma kwenye widal test kuwe na aggulitination(chenga chenga) hivyo basi ushauri wangu kwako hzo antibody azna madhara ila jtahidi uwe unakwenda kwenye hospital kubwa kubwa ili kuepuka matumizi ya antbiotic yasiyo ya lazma kutokana na false+ve ya typhod...pia mtu akipata ajali Hb yake ikiwa low hizo flagella antbody za salmonela huwa zinakuwa juu..!!

ushauri wangu kwako jitahdi kutumia dawa ya typhoid kila baada ya miezi 3-6 hii ndo mbinu sahii yaku pambana na typhoid swala la antbody&antgen reaction ilo achana nalo liko common ali wezi hepukika...pia jitahidi kuwa una pima typhoid fever kwa kufanyiwa culture au master titration.
 
hazi wezi kuisha...mwlini zna kuwepo kwa mda mrefu na karbu kila mkoa una range zake hii ni ku maanisha kuwa nu ngumu sana kumkosa mtu na typhod na maanisha lazma kwenye widal test kuwe na aggulitination(chenga chenga) hivyo basi ushauri wangu kwako hzo antibody azna madhara ila jtahidi uwe unakwenda kwenye hospital kubwa kubwa ili kuepuka matumizi ya antbiotic yasiyo ya lazma kutokana na false+ve ya typhod...pia mtu akipata ajali Hb yake ikiwa low hizo flagella antbody za salmonela huwa zinakuwa juu..!!

ushauri wangu kwako jitahdi kutumia dawa ya typhoid kila baada ya miezi 3-6 hii ndo mbinu sahii yaku pambana na typhoid swala la antbody&antgen reaction ilo achana nalo liko common ali wezi hepukika...pia jitahidi kuwa una pima typhoid fever kwa kufanyiwa culture au master titration.

Definition unaitwa usaidie maelezo.
Je kama najisikia dalili za malaria nikanunua Metakeflin nikameza bila kwenda kupima nitakua nimetenda dhambi sana?
Ukizingatia mahospital yote hapa Dar sasa hivi yako busy na Covid-19
 
Definition unaitwa usaidie maelezo.
Je kama najisikia dalili za malaria nikanunua Metakeflin nikameza bila kwenda kupima nitakua nimetenda dhambi sana?
Ukizingatia mahospital yote hapa Dar sasa hivi yako busy na Covid-19
Mimi ndo kawaida yangu,nikisikia homa paracetamol,,,kesho yake nikiona imekaza nafuata metakeflin,,napona,
Kwasasa hata Kama una malaria,waweza jikuta uko karantini na wenye corona,,
 
Back
Top Bottom