Hapa hakuna remedy kupitia sheria ndugu yangu, ni kujipanga upya na kutafuta shule nyingine! Hata kama sheria ingekuwepo, huo muda atakaotumia ili kufuatilia mambo ya kesi ambayo hatakuwa na uhakika wa hata kushinda, unatosha kabisa kusoma na kupata digrii! Hiyo ndio Tz!