barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,811
Sio rasmi, utafiti wangu umekuwa ni wa kutumia masikio zaidi.Ulishafanya utafiti lakini, na ukawakosa?
PhDs zipo mkuu ila kuhusu Profesa sina uhakikaSio rasmi, utafiti wangu umekuwa ni wa kutumia masikio zaidi.
mfano....Wapo wengi sna
Nilisikia kuna profesa mmoja wa political science kwa jina la Mkisi ambae pia ana Ph.D.Habari.
Nilitaka kujua maana sijawahi waona wala kusikia hawa 'wasomi' ktk nyanja ya jeshi eidha jwtz au polisi au jeshi lolote!
Habari.
Nilitaka kujua maana sijawahi waona wala kusikia hawa 'wasomi' ktk nyanja ya jeshi eidha jwtz au polisi au jeshi lolote!
Rekebisha hapo kuhusu mkuu wa jeshi la magereza.Wapo wakutosha Dr mkuu wa jeshi kipindi cha mgomo wa ma Dr Muhimbili alikuwa anaitwa Dr,Prof,Brigadier general? ???? Namuhifadhi kwa wasiojulikana taaluma zote zilizo uraiani pia ziko jeshini.Kudhibitisha hili wakati waongoza ndege waligoma hawa jamaa kitengo cha anga walikwenda kushika usukani.Vyeo vyao ambavo ndio maarufu vinafunika vyeo vyao vya kisomi hawa jamaa hawana majivuno.Jeshi la Marekani tafiti za mambo ya tiba na anga zinafanyikia kwao. Enzi za Nyerere marubani wa ATC japo walikuwa wanaonekana raia lakini walikuwa wanajeshi.Hivi unajua mkuu wa jeshi la magereza ni mwanamke na ana phD?
Jaribu kuwatafuta waliopo karibu na wakuu wa hizi idara, watakumegea ukweli. Naimani utapata jibu lililo sahihi, naimani pia hapa kuna wadau watafunguka kwa majibu ya kweli, japo kunawengine watayapamba majibu yao ya uongo.Sio rasmi, utafiti wangu umekuwa ni wa kutumia masikio zaidi.
Habari.
Nilitaka kujua maana sijawahi waona wala kusikia hawa 'wasomi' ktk nyanja ya jeshi eidha jwtz au polisi au jeshi lolote!
Hivi unajua mkuu wa jeshi la magereza ni mwanamke na ana phD?
Hapana, sikujua wa magereza kama ni dr!! Mmenifumbua macho.Wapo wakutosha Dr mkuu wa jeshi kipindi cha mgomo wa ma Dr Muhimbili alikuwa anaitwa Dr,Prof,Brigadier general? ???? Namuhifadhi kwa wasiojulikana taaluma zote zilizo uraiani pia ziko jeshini.Kudhibitisha hili wakati waongoza ndege waligoma hawa jamaa kitengo cha anga walikwenda kushika usukani.Vyeo vyao ambavo ndio maarufu vinafunika vyeo vyao vya kisomi hawa jamaa hawana majivuno.Jeshi la Marekani tafiti za mambo ya tiba na anga zinafanyikia kwao. Enzi za Nyerere marubani wa ATC japo walikuwa wanaonekana raia lakini walikuwa wanajeshi.Hivi unajua mkuu wa jeshi la magereza ni mwanamke na ana phD?
Hivi huyu bado yupo kazini??View attachment 602298
Meja jenerali zawadi madawili
Yuko kwenye bodi mpya ya mishahara
Kitabu iko kichwani
Kumbe udaktari huu, mi namaanisha Doctor of Philosophy(PhD) na maprofesa!Rekebisha hapo kuhusu mkuu wa jeshi la magereza.
Sio mwanamke, ni mwanaume mwenye taaluma ya udaktari (MD).
Uhamiaji ndo kuna mwanamke.