Je, kuna ada ya Mtihani wa Darasa la Nne?

Huku wilayani kwetu Mbulu Mkoani Manyara tunachangishwa Tshs 6,000/= kila mtoto, Nilitaka kujua kama ni mradi umeandaliwa au ni suala la kitaifa
 
Shule za watakatifu wanamichango kila Mara, na huwezi kuhoja.


Shule za wanyonge kuanzia chekechea hadi kidato cha nne hakuna mchango, hata wakipitisha kwenye vikao vya wazazi kichangia hadi upende. Unaweza kuacha tu na mwanao hawamfanyi chochote.


Wakimsumbua tu wachimbe mkwara ukamuone mkuu wa wilaya au mkoa kama upo mkoani.


Usiende kwa afisa elimu wala mkurugenzi, tena hata usiende kwa DC au rc nenda kwa katibu wa chama au mwenezi wa wilaya.
 
Huku wilayani kwetu Mbulu Mkoani Manyara tunachangishwa Tshs 6,000/= kila mtoto, Nilitaka kujua kama ni mradi umeandaliwa au ni suala la kitaifa
Slow slow anakuambia elimu ni bure ila wazazi wakiona busara kuchangia, wanaruhusiwa tu!
 
Back
Top Bottom