Mama D sijawahi andika uongo au utumbo if not making revenge when I am abused! Cheki posts plus thread zangu. Leo umenibana kisawasawaLeo umeandika vyenye ukweli mtupu
Kila mtu akisimama kwenye nafasi yake kwenye jamii haya malalamiko yataisha
Na huko makanisani au misikitini wataenda watu kama familia sio baba huku, watoto kule, mke huku mume kule