Kairuki sasa hivi ada ngapi per year ?Yeah mkuu sifa unazo unapata medicine vizuri kabsa ila jaribu kuomba vyuo kama kampala na kairuki kuepusha competition na waliofaulu zaidi yako lakini pia angalia uwezo wa uchumi kama utaweza kukabiliana na ada ya hivyo vyuo kila la kheri mkuu,,,,,
Inabadilika kutokana na mwaka husika wa masomo ila kuanzia 6.4M Mpaka 6.9M kwa mwaka kama huna mkopo wa serikali kwenye ada, ukipata mkopo basi itapunguza makali kidogoKairuki sasa hivi ada ngapi per year ?
Anaenda vyuo vya kata halaf aje anifanyie upasuaji...hapana kwakwel.Yeah mkuu sifa unazo unapata medicine vizuri kabsa ila jaribu kuomba vyuo kama kampala na kairuki kuepusha competition na waliofaulu zaidi yako lakini pia angalia uwezo wa uchumi kama utaweza kukabiliana na ada ya hivyo vyuo kila la kheri mkuu,,,,,
Angalia vigezo vya vyuo vyote kwa ujumla kwa kozi za afyaKwa matokeo haya je naweza kupata medicine hata vyuo vya private ukizingatia pia competition
Physics D
Chemistry C
Biology D
Bam C
Hao wanaokutibu unajua walikosoma ??Anaenda vyuo vya kata halaf aje anifanyie upasuaji...hapana kwakwel.