Wana JF kwema.
Nna kamzigo ka 18 millions,nilivyojisajili SBT baada ya kupitia Uzi wa Wana JF, baada ya siku Moja nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni agent wa SBT ,alinipa maelezo kadhaa na kunambia kama nnahtaji gari basi nimpigie ili anielekeze office za SBT zilipo hapa DSM kwa maelezo zaidi.
Nami nilimuuliza kabla sijafika ofisin ,naweza kuagiza crown athlete kwa millions 18 akanambia ndio zinaanzia 16.5 millions na kuendelea kulingana na condition zake Kisha akantumia links za SBT zenye crown athlete na bei zake .nami nika click na kutazama bei na TRA ushuru direct zinaanzia hapo hapo,
Je huyu mtu ni kweli maana nilisomaga Uzi humu JF Kuna mjomba alipigwa 10 millions
Angalia. Utapigwa. Hapa kuna matapeli usipokuwa mwangalifu.Wana JF kwema.
Nna kamzigo ka 18 millions,nilivyojisajili SBT baada ya kupitia Uzi wa Wana JF, baada ya siku Moja nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni agent wa SBT ,alinipa maelezo kadhaa na kunambia kama nnahtaji gari basi nimpigie ili anielekeze office za SBT zilipo hapa DSM kwa maelezo zaidi.
Nami nilimuuliza kabla sijafika ofisin ,naweza kuagiza crown athlete kwa millions 18 akanambia ndio zinaanzia 16.5 millions na kuendelea kulingana na condition zake Kisha akantumia links za SBT zenye crown athlete na bei zake .nami nika click na kutazama bei na TRA ushuru direct zinaanzia hapo hapo,
Je huyu mtu ni kweli maana nilisomaga Uzi humu JF Kuna mjomba alipigwa 10 millions
Wanakuordea ukitaka sio lazima wakuuzie kwanza asilimia ya magari ya huyu baba ni kwamba ukiagiza gari sio unaliopata hapo nope wanakuagizia kutoka japan sio kwenye sehemu zao za magari .Ahsante ila nnahtaji kuagiza TU toka japan, kuhusu kunnua ktk hizi yard mhh hapana
Wapo sanaAngalia. Utapigwa. Hapa kuna matapeli usipokuwa mwangalifu.
Mzee hata usiwaze sana. Google ofisi za SBT Tanzania zilipo. Nenda ofisini, waeleze shida yako. Mtachagua magari na ukiridhika watakupa utaratibu wa kufanya malipo. Achana na hizi habari za kupigiwa simu na agent wao ingawa wakati mwingine ukitaka ku bargain huwa wanapiga simu. NENDA OFISINI KWAO.Wana JF kwema.
Nna kamzigo ka 18 millions,nilivyojisajili SBT baada ya kupitia Uzi wa Wana JF, baada ya siku Moja nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni agent wa SBT ,alinipa maelezo kadhaa na kunambia kama nnahtaji gari basi nimpigie ili anielekeze office za SBT zilipo hapa DSM kwa maelezo zaidi.
Nami nilimuuliza kabla sijafika ofisin ,naweza kuagiza crown athlete kwa millions 18 akanambia ndio zinaanzia 16.5 millions na kuendelea kulingana na condition zake Kisha akantumia links za SBT zenye crown athlete na bei zake .nami nika click na kutazama bei na TRA ushuru direct zinaanzia hapo hapo,
Je huyu mtu ni kweli maana nilisomaga Uzi humu JF Kuna mjomba alipigwa 10 millions
Kwa 18 million, nunulia humu ndani sio lazima uagize ... hasa majira ya haya ya holiday.. unapata crown grs200 au grs204.. imenyookaWana JF kwema.
Nna kamzigo ka 18 millions,nilivyojisajili SBT baada ya kupitia Uzi wa Wana JF, baada ya siku Moja nilipigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kuwa ni agent wa SBT ,alinipa maelezo kadhaa na kunambia kama nnahtaji gari basi nimpigie ili anielekeze office za SBT zilipo hapa DSM kwa maelezo zaidi.
Nami nilimuuliza kabla sijafika ofisin ,naweza kuagiza crown athlete kwa millions 18 akanambia ndio zinaanzia 16.5 millions na kuendelea kulingana na condition zake Kisha akantumia links za SBT zenye crown athlete na bei zake .nami nika click na kutazama bei na TRA ushuru direct zinaanzia hapo hapo,
Je huyu mtu ni kweli maana nilisomaga Uzi humu JF Kuna mjomba alipigwa 10 millions
Nasiki hilo dude ni liv8 linabugia mafuta vibaya mno?Angalia usije ukapigwa wewe
Kama vipi ingia kwenye website uagize wewe mwenyewe
Nakushaur uingie befoward bei kidogo reasonable na kama una nguvu agiza majest crown hautajutia
Ukitoka huko pita Enhance Auto pia. Wapo VIVA tower kwenye makutano ya Ohio Street na Bibi Titi Mohamed road.Nilienda SBT nikaelekezwa jinsi ya kunnua mpaka lifike mkononi na bei zao,
Sasa j4 nahtaji kwenda pia beforward ili nikajue ni wapi ntapata urahisi
Anaenda kulia mtu muda si mudaKama upo serious nikupe namba ya mtu akusaidie yupo Dar ndio mwenye kampuni ya magari sio ya hiyo kampuni