Je, Kila utumbuaji ni wa haki, au kuna kumkomoa Kikwete?!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,463
113,533
Wanabodi,

Japo huu utumbuaji unashangiliwa sana, mimi nina swali moja tuu la kujiuliza, jee kila utumbuaji ni wa haki?!, hakuna uwezekano kuna baadhi ya utumbuaji sii wa haki bali ni kumkomoa tuu mhusika na aliyemteua ambaye ni JK?!, kwa sababu ya dhana tuu kufuatia muonekano wa mtu, hivyo watu kudhania sababu za fulani kuteuliwa licha ya vigezo, pia kuna kaji ubinaadamu kidogo kutokana na muonekano?, maana JK naye ni binadamu tuu, ana macho na yanaona, na Magufuli pia ni binadamu tuu, na yeye ana macho na yanaona!, sasa katika ubinaadamu huu, na hizi teuzi nyingine, licha ya kukidhi vigezo, pia kuna uwezekano wa kuwepo ubinaadamu...!, hivyo na katika kutumbua, ilibidi pia ubinaadamu uzingatiwe?.

Miongoni mwa sifa kuu za binadamu, ni pamoja na sifa inayoitwa udhaifu!, jee hauwezekani katika tumbua tumbua, kuna wanaotumbuliwa kwa udhaifu tuu wa kibinaadamu, hivyo wametafutiwa sababu?!, maana teuzi nyingine .... Mashalah... hata ningekuwa mimi...!.

Nashauri hizi presidential appointment powers ziwe very closely counter checked ku avoid rais kuwateua baadhi ya wateule kwa sababu za kibinaadamu tuu, zaidi ya sifa pekee, na kama ni hivyo, jee huu ni udhaifu!.

Naomba kuchukua fursa hii kuwapongeza baadhi ya wateule hawa, kwa kuwa na sifa za kuteuliwa
19edJuliet-Kairuki%20%281%29.jpg

k1.jpg
DSCF2225.jpg

Irene-Isaka-ssra-tanzania-2.jpg.pagespeed.ce.URYAr_piSK.jpg
DSC_0287.JPG

angelakairukilawconst.jpg

Capture.PNG

8aa.jpg

vicky.jpg


Kiukweli hata rais kama ndio ningekuwa mimi, na nina macho ya kuona ninayo yaona, na macho yakiona moyo nao..., nikukutana na watu kama hawa na wanasifa na kukidhi vigezo, kwa nini nisiwateue?!, na pale ninapoingia na kuwakuta tayari waliishateuliwa na mtangulizi wangu, then kwa nini na mimi nisiwaache tuu waendelelee tuu kulitumikia taifa hata kama kuna vikosa vidogo vidogo ni kuvihesabu tuu kama viijipu uchungu, sio lazina vitumbuliwe?!.

Naomba kumalizia huu uzi kwa lile swali la msingi, ili watu tujikite kwenye hoja tuu!,
Jee Kila Utumbuaji ni Wa Haki, Au Kuna Kumkomoa Kikwete, kwa kuwatumbua baadhi ya wateule wake ?!.

Kiukweli kabisa toka ndani ya nafsi yangu, kuna baadhi waliotumbuliwa, ila mimi mwenye macho mafupi, sijaona makosa yao, kwa vile serikali ina macho marefu, labda kuna mambo wameyaona ambayo sisi hatujayaona ndiyo yaliyopelekewa kutumbuliwa kwao na sio hizo sababu za visingizio zinazotolewa?!.

Pasco
 
Wewe eleza nani kaonewa? Wtz nani katuloga? Nchi yetu ilikuwa imefikia pabaya.baada ya maombi ya muda mlefu ya kufunga na kuomba Mungu kawajibu waja wake akamleta JPM sasa watu wanataja turudi tuliko toka hiyo haiwezekani kila mti atavuna alichipanda.viva JPM.
 
Utumbuaji huu upo sahii kwani ni kutokana na kazi ya TISS kufanya kazi kama Mkuu wao alivyowaagiza , sasa ile dhana ya kufanya kazi kwa mazoe aimeisha, wale walioteuliwa wengi wakiwa visura kuna mkono wa mtu kwamba uenda walikuwa wanateuliwa kwa sababu fulanifulani,

Pasco; hizi enzi za hapa kazi tu hawa hawawezi kwenda na kasi hii ikiwa wengine wanaweka utaifa pembeni wanasusa, hata hivyo wakati mwingine kuna familia fulani fulani zinapendelewa zaidi kwenye uongozi, angalaia hapa, Mw. Kair, Ange Kair, R. kair bado mama mtu angekuwa umri unamtosha pia angepewa vyeo.
 
Pasco naona hili unalianzishia thread ya tatu

kulikoni?

kuna nini?

ni kama una suggest kuna mtu kanyimwa papuchi ndo maana utumbuaji umetumika
au kama vile uteuzi papuchi ilichangia...


ni hisia zako tu au una inside infos?

Jamani huyu si tumeambiwa ni mke wa yule jamaa anayemiliki ile hospitali ya Mikocheni yenye jina kama "surname" yake Dr. ..........Memorial Hospital?

Inakuwaje watu watake "papuchi" inayomilikiwa na mtu mwingine tena waziwazi hivi!!??

Anyway, Pasco amalizie tu story yake na asituletee habari kwa "parables!!"...
 
Jamani huyu si tumeambiwa ni mke wa yule jamaa anayemiliki ile hospitali ya Mikocheni yenye jina kama "surname" yake Dr. ..........Memorial Hospital?

Inakuwaje watu watake "papuchi" inayomilikiwa na mtu mwingine tena waziwazi hivi!!??

Anyway, Pasco amalizie tu story yake na asituletee habari kwa "parables!!"...
oi kumbe alibania papuchi daaaah!!!!!!!!!!!
 
Utumbuaji huu upo sahii kwani ni kutokana na kazi ya TISS kufanya kazi kama Mkuu wao alivyowaagiza , sasa ile dhana ya kufanya kazi kwa mazoe aimeisha, wale walioteuliwa wengi wakiwa visura kuna mkono wa mtu kwamba uenda walikuwa wanateuliwa kwa sababu fulanifulani,

Pasco; hizi enzi za hapa kazi tu hawa hawawezi kwenda na kasi hii ikiwa wengine wanaweka utaifa pembeni wanasusa, hata hivyo wakati mwingine kuna familia fulani fulani zinapendelewa zaidi kwenye uongozi, angalaia hapa, Mw. Kair, Ange Kair, R. kair bado mama mtu angekuwa umri unamtosha pia angepewa vyeo.
hii kitu bana haina cha hapa kazi sijui nchi ilifikia pabaya sijui TISS. yani achana na hii kitu aariff
 
Mkuu labda ungetueleza kuna jambo gani ambalo magu na kikwete wanashindania ili tuseme kwamba kuna kukomoana?
 
Back
Top Bottom