Je, kauli hii ya mheshimiwa Rais ina ukweli kiasi gani?

usiambini

JF-Expert Member
Jan 12, 2013
627
558
Mh.Rais alipokua akiwahutumia wananchi chato huko Geita amenukuliwa akisema "Hakuna mtu yeyote kutoka nje anaweza kutuletea maendeleo kutoka nje,Ni nyinyi watanzania wenyewe ndio mutajiletea maendeleo"

Naomba kujua hivi hile miradi ya maendeleo ilioketwa na kuchangiwa buget yetu kwa asilimia 40 je ni nini??

MCC1 -imeshapita na kutoa fedha kwa miradi mbali mbali ya maendeleo wao wanatoka wapi???
Hawa wajapan walio toa 200m usd Je wanatoka wapi .Na je ule mradi wa kinyerezi wanaotaka kutolea msaada si maendeleo??

Je yake mabango makubwa katika miradi ya maendeleo inayo andikwa financier "World bank". ama "USAID" hawa wanatoka wapi??

Je miradi mikubwa ya bara bara inayo onesha financier Kua mashirika ya nje ni vipi inakua??

Na je mashirika ya nje yanayojitolea kuja kufanya tafiti na matibabu pamoja na wataalamu mfano wa israil,wahindi nk inakuaje???

Na hata hawa wanaojitolea kwenye makambi ya wakimbizi ni nani??

Na hawa investors katika miradi mikubwa ni nani;

Na je kuna watanzania wanaojitolea katika miradi mikubwa na kutoa misaada zaidi ya bilioni 5???
 
Mh.Rais alipokua akiwahutumia wananchi chato huko Geita amenukuliwa akisema "Hakuna mtu yeyote kutoka nje anaweza kutuletea maendeleo kutoka nje,Ni nyinyi watanzania wenyewe ndio mutajiletea maendeleo"

Naomba kujua hivi hile miradi ya maendeleo ilioketwa na kuchangiwa buget yetu kwa asilimia 40 je ni nini??

MCC1 -imeshapita na kutoa fedha kwa miradi mbali mbali ya maendeleo wao wanatoka wapi???
Hawa wajapan walio toa 200m usd Je wanatoka wapi .Na je ule mradi wa kinyerezi wanaotaka kutolea msaada si maendeleo??

Je yake mabango makubwa katika miradi ya maendeleo inayo andikwa financier "World bank". ama "USAID" hawa wanatoka wapi??

Je miradi mikubwa ya bara bara inayo onesha financier Kua mashirika ya nje ni vipi inakua??

Na je mashirika ya nje yanayojitolea kuja kufanya tafiti na matibabu pamoja na wataalamu mfano wa israil,wahindi nk inakuaje???

Na hata hawa wanaojitolea kwenye makambi ya wakimbizi ni nani??

Na hawa investors katika miradi mikubwa ni nani;

Na je kuna watanzania wanaojitolea katika miradi mikubwa na kutoa misaada zaidi ya bilioni 5???

'When the theory doesn't fit the practice, ignore the theory'.
 
Kumbuka hiyo mnayoita donor funded project nyuma kuna makubaliano ya jinsi ya kulipa hizo pesa au kabla hamjapewa lazima kuna kitu mnakubaliana kuna kitu mnawapa, kifupi hakuna cha bure.
Ukiona wameleta tu misaada mfano ya kiafya ujue wapo kwenye study zao na nyie ndio field practice
 
Kuna watu sio wakuwasikiliza. Kama mtu amegoma kuonyesha salary alioahidi mwenyewe utamuamino kweli?
 
Hakuna taifa au mtu aliye mkamilifu, kimsingi mwananchi ni mhimili wa maendeleo yake binafsi kama ilivyo kwa taifa na uchumi wake.

Hata hivyo ni jambo lisilopingika kwamba ushirikiano ni chachu kubwa ya maendeleo.
 
Back
Top Bottom