shabani mitambo
Member
- Mar 19, 2012
- 16
- 1
Mboni kimya kingi kuhusu mchakato mzima wa uandikaji wa katiba mpya kwani watanzania tupo kimya tukifuatilia suala hili kwa kina kwani tunatambua katiba n imzingi na mwongozo wa kila mtanzani katika shughuli zake za kila siku. Hivyo basi wakilishi wetu ni vema wakati huu mungeweza kutumia wakati wenu kushughulikia suala hili kabla ya bunge la bajeti kuanza ili wizara husika kufafanya tasmini ya gharama mzima kwa zoezi hili ambalo ndio kitovu cha taifa kwa ujumla.