Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
MICHEZO: Rais wa TFF na Mjumbe wa Kamati ya Utendaji CAF, Wallace Karia akizungumza wakati wa kufunga Semina ya Waamuzi wa Ligi Kuu ya NBC Makao Makuu ya TFF, Karume, Ilala amesema;
“Msimu huu utakuwa msimu wa tofauti sana, kwa wale ambao watafanya vizuri tutapongezana na kwa wale ambao watakuwa wapo tofauti tutakuwa tumeachana nao moja kwa moja kwenye hilo SITANII” – Wallace Karia
Mwamuzi gani unamuona akikumbana na “SITANII” ya Rais Karia
Sababu tumezoea kuona marefa wengi hufungiwa kwenye mechi za Simba Kwa kubeba
Simba walipata penalty nyingi za mchongo.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
“Msimu huu utakuwa msimu wa tofauti sana, kwa wale ambao watafanya vizuri tutapongezana na kwa wale ambao watakuwa wapo tofauti tutakuwa tumeachana nao moja kwa moja kwenye hilo SITANII” – Wallace Karia
Mwamuzi gani unamuona akikumbana na “SITANII” ya Rais Karia
Sababu tumezoea kuona marefa wengi hufungiwa kwenye mechi za Simba Kwa kubeba
Simba walipata penalty nyingi za mchongo.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
