Je, Jumatatu ni Siku ya Mapumziko?

Je, Jumatatu ni Siku ya Mapumziko?

Ozzie

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2007
Posts
3,217
Reaction score
1,266
Mara nyingi kumekuwa na utata wa siku za mapumziko kwa sherehe za kidini zinazofanyika mwishoni mwa week, yaani jumamosi na jumapili. Ikiwa leo jumapili ni sherehe ya dini ya kiislam, yaani Eid al-Hajj; je, kesho jumatatu itakuwa ni mapumziko kwa watumishi wa serikali? Hivi kuna miongozo yoyote ihusianayo na sherehe?
 
subiri kikwete na shein washauriane. mpaka jioni itajulikana!
 
Mmh halafu nchi iendelee wakati mnawaza off? Kesho ni mzigoni
 
Hizi sikukuu zisizo na tarehe wala pobox number ni sheda tupu
 
Which is which. Tupeni jibu jamani sijui itakuaje ndo nimesha jipa ngano ya kutosha najua kesho full kulala naombeni jibu sahihi jamani
 
Nimekopi sehemu
Mapumziko ya Kitaifa said:
Siku za mapumziko za kitaifa (za dini na za kiserikali). Siku za mapumziko kwa kwawaida hutangazwa na serikali (kwa kawaida zipo siku za mapumziko 17 kwa mwaka). Siku za mapumziko zina ongozwa na sharia ya Siku za mapumziko ya mwaka 1966. Siku hizi ni Mwaka mpya (1 Januari), Mapinduzi ya Zanzibar (12 Januari), Maulidi, Ijumaa kuu (19 Machi), Jumapili ya Pasaka, Jumatatu ya Pasaka, Kumbu kumbu ya Sheikh Abeid Amani Karume ( Aprili 07), Muungano (Aprili 26), Siku ya wafanyakazi (Mei 01), Saba saba (Julai 07), Nane nane (Augusti 08), Eid-el-Fitri( siku 2 ), Siku ya kumbu kumbu ya Mwalimu Nyerere (Oktoba 14), Idd-El-Hajj , Uhuru wa Tanzania (Desemba 09), Krismasi (Desemba 25), Boxing Day (Desemba 26). Sikukuu za kiislamu zinategemea sana mwandamo wa mwezi.
 
Piga pasi kabisa kesho uende kazini, umeme hauaminiki
 
Back
Top Bottom