JK unamjua unamsikia ? subiri aanze hotuba halafu agusie mambo ya bunge la katiba. kadri kinamama watakapo piga vigelegele ndipo atakapotangaza kua ni sikukuu mpaka mei mosi.
JK unamjua unamsikia ? subiri aanze hotuba halafu agusie mambo ya bunge la katiba. kadri kinamama watakapo piga vigelegele ndipo atakapotangaza kua ni sikukuu mpaka mei mosi.
Rais akitangaza jumatatu ni public holiday sawa! Asipotangaza serikalini/maofisini nendeni kazini ila genge langu la matunda halina public holiday sijui nini nini
Holiday is very good. I am still sitting in bed with wife very many rain outside and very cold. we beg president to tell people monday is holiday we make baby again.
Inawezekana ni public holiday manake sijaelewa kwa nini jana sitta wakati anaharisha bunge alisema tukutane jumanne na sio jumatatu. Mwenye taarifa atujuze pls.