Je Jesca Magufuli ni nani?

Kwa hao watanzania waliokupga hisan me naomba unitoe kwakuwa sio miongon mwao
 
Jesca ni mtoto maarufu wa aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati John pombe Magufuli (JPM).
 
Kwa hao watanzania waliokupga hisan me naomba unitoe kwakuwa sio miongon mwao
ndio maana sikusema watanzania nilisema mtanzania...nikijua watatokea vilaza wasioelewa
 
Sisi tuliojenga na kuwekeza Chato mimi nikiwa Rubambangwe, Jesca ndio mrithi wa Mh. Kamani. Na Mh. Kamani ndiye atakayekuwa Kampeni Meneja wa Jesca!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…