minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
Tuhakikishe hii video inasambaa hadi imfikie Mtungi
Jaji mutungi ni mwanachama wa CUF Haramu ya Lipumba na pia ni mmiliki wa cuf kwani bila yeye jaji asiweza kuwasaidia kupora chama
Tuhakikishe hii video inasambaa hadi imfikie Mtungi
Mutungi kwa andishi lake la leo sidhani kama yuko timamu !
Uzuri hajaficha health status yake......Anayeteua ni kichaa hivyo ni lazima naye awe hamnazo ili aweze kutumiwa kama kikaragosi cha kutimiza matakwa ya maovu ya kichaa.
Uzuri hajaficha health status yake......
Alipokuwa ziarani kanda ya ziwa, wakati anawahutubia wakazi wa kale, alibainisha wazi kuwa yeye ni kichaa na anaowateua nao ni vichaa wenzake!
Huyu anamilikia kadi ya kijani. Alishamuuliza shoga yangu NY mwaka nauhifadhi kama anakadi ili akirudi nyumbani asipate shida. Tulikuwa Mount Vernon hata yeye akisoma huu uzi atakumbuka. Wanafiki wote.Jaji mutungi ni mwanachama wa CUF Haramu ya Lipumba na pia ni mmiliki wa cuf kwani bila yeye jaji asiweza kuwasaidia kupora chama
Mutungi ametoa nakala kuwatahadharisha wafuasi wa cuf kuwachukulia hatua kwa kuchoma moto card na sare za cuf. Wakati haya tulizoeya kuyaona Kwa ccm
Ni unafiki, na unadhirisha wazi kabisa upo kuwakandamiza wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asingekuwa mchumia tumbo angemuenzi Baba yake ambaye ni mmoja wa waanzilishi wa Chadema. Yeye anachumia tumbo. Angemheshimu mzee Mtungi kwa kuona mbali kuanzisha vyama mbadala.
Huyu Jaji anaidhalilisha sana ofisi ya msajili wa vyama vya siasa.
Sijui atajivunia nini mara baada ya kuachia hiyo ofisi.
Ndio matatizo ya kuwa na ofisi huru kisheria lakini zikakosa watu huru wa kuziongoza.
Tuna taasisi huru kabisa kisheria lakini zinaongozwa na wataalamu wa kujikombakomba na kujipendekeza.
Sure.Tuhakikishe hii video inasambaa hadi imfikie Mtungi
Jaman tangazeni albadili mapema kabla hamjanyongwa tena na akina Jecha na ata michango ya kuisupport albadil iyo tutachanga tupeni tu namba, we are tired of these culprit dhidi ya haki za WatanzaniaNimesoma huzuni sana waraka wake
Anatia huruma sana,kama vile anatetea pensheni
Niseme tu kwamba Jaji Mutungi ana wakati mgumu sana,tena sana kwani pamoja na yote bado ataendelea kuwa na wakati mgumu sana.
Hebu fikiria tu kwa haraka Lipumba na Uprofesorio rabish wake ametetewa na Jaji Mutungi na akatumia njia za kidhalimu kutetea nafasi yake
Jaji Mutungi huwajua Wazanzibari
Sisi wazanzibari sio kama watanganyika.Tuna misimamo yetu.Tuna kanuni zetu na wakati wetu ndio sasa.Tuache!!
"Ukiendelea kutufata fata tunaweza kukusomea Albadiri Moja tu na hicho kiburi chako kitaisha"