Mutungi kwa andishi lake la leo sidhani kama yuko timamu !
Tushachoka na mikwara mbuziSisi wazan yenyywari sio kama watanganyika.Tuna misimamo yetu.Tuna kanuni zetu na wakati wetu ndio sasa.Tuache!!
Labda kwako ni mikwara mbuzi,ila siku ya uchaguzi zanzibar silaha zote za kivita kutoka tanganyika humiminwa zanzibar ili kulinda ukoloni wa tanganyika.Tushachoka na mikwara mbuzi
Ni bora mjikite na ACT yenu
Sheria zipi au hizi za jiwe kuzuia mikutano ya siasa?Tatizo lenu hamsomi sheria fateni sheria muone kama jaji mtungi atawafatilia
Nimesoma huzuni sana waraka wake
Anatia huruma sana,kama vile anatetea pensheni
Niseme tu kwamba Jaji Mutungi ana wakati mgumu sana,tena sana kwani pamoja na yote bado ataendelea kuwa na wakati mgumu sana.
Hebu fikiria tu kwa haraka Lipumba na Uprofesorio rabish wake ametetewa na Jaji Mutungi na akatumia njia za kidhalimu kutetea nafasi yake
Jaji Mutungi huwajua Wazanzibari
Sisi wazanzibari sio kama watanganyika.Tuna misimamo yetu.Tuna kanuni zetu na wakati wetu ndio sasa.Tuache!!
"Ukiendelea kutufata fata tunaweza kukusomea Albadiri Moja tu na hicho kiburi chako kitaisha"
Nimesoma huzuni sana waraka wake
Anatia huruma sana,kama vile anatetea pensheni
Niseme tu kwamba Jaji Mutungi ana wakati mgumu sana,tena sana kwani pamoja na yote bado ataendelea kuwa na wakati mgumu sana.
Hebu fikiria tu kwa haraka Lipumba na Uprofesorio rabish wake ametetewa na Jaji Mutungi na akatumia njia za kidhalimu kutetea nafasi yake
Jaji Mutungi huwajua Wazanzibari
Sisi wazanzibari sio kama watanganyika.Tuna misimamo yetu.Tuna kanuni zetu na wakati wetu ndio sasa.Tuache!!
"Ukiendelea kutufata fata tunaweza kukusomea Albadiri Moja tu na hicho kiburi chako kitaisha"
AIseee.....Mutungi ametoa nakala kuwatahadharisha wafuasi wa cuf kuwachukulia hatua kwa kuchoma moto card na sare za cuf. Wakati haya tulizoeya kuyaona Kwa ccm
Ni unafiki, na unadhirisha wazi kabisa upo kuwakandamiza wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatujui wazanzibari huyu, aende Kyle ngazi mia a one wastaafu wa ccm wanavyo chechemea kwa halbadiri na dhulma zaoNimesoma huzuni sana waraka wake
Anatia huruma sana,kama vile anatetea pensheni
Niseme tu kwamba Jaji Mutungi ana wakati mgumu sana,tena sana kwani pamoja na yote bado ataendelea kuwa na wakati mgumu sana.
Hebu fikiria tu kwa haraka Lipumba na Uprofesorio rabish wake ametetewa na Jaji Mutungi na akatumia njia za kidhalimu kutetea nafasi yake
Jaji Mutungi huwajua Wazanzibari
Sisi wazanzibari sio kama watanganyika.Tuna misimamo yetu.Tuna kanuni zetu na wakati wetu ndio sasa.Tuache!!
"Ukiendelea kutufata fata tunaweza kukusomea Albadiri Moja tu na hicho kiburi chako kitaisha"
Siwezi kumlaumu huyu flanz mtungi wa pombe. Ni maagizo ya ugimbi hayo. Si unajua mtu akishalewa pombe anakuwaje.Mutungi ametoa nakala kuwatahadharisha wafuasi wa cuf kuwachukulia hatua kwa kuchoma moto card na sare za cuf. Wakati haya tulizoeya kuyaona Kwa ccm
Ni unafiki, na unadhirisha wazi kabisa upo kuwakandamiza wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu bwana ni taahiraMutungi ametoa nakala kuwatahadharisha wafuasi wa cuf kuwachukulia hatua kwa kuchoma moto card na sare za cuf. Wakati haya tulizoeya kuyaona Kwa ccm
Ni unafiki, na unadhirisha wazi kabisa upo kuwakandamiza wapinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msajili wa vyama vya Siasa ni mmoja wapo wa wanufaika wa ruzuku ya CUF ambapo hugawana hizo pesa kienyejiBaada ya kuona Maalim hajakata rufaa Mutungi sasa hivi bila madonge ya usingizi halali !