Je, Itakua shida nini?

Je, Itakua shida nini?

iClever

Member
Joined
Feb 6, 2022
Posts
33
Reaction score
23
Habari wana JF. naomba kujuzwa katika hili

Nilipata likizo na nikaona niende kwa kaka angu
Na kufika mambo yalikua safi.
Lakini hapo nilipo fikia kwa kaka angu ana jirani ake
Na jirani ana watoto na moja kati ya watoto.

Ni amekua na tatizo la kutoelewa, mfano akitoka shule ye ni michezo na hata wakimwambia fanya hiki matokeo hafanyi. Kuuliza na kutaka kumfahamu miaka yake 12 yuko darasa la7 ni binti hata shuleni pia hafanyi vizuri sana.

Nikaona nipite JF pengine nikajua zaidi mengi ktk hilo tatizo


MWENYE KUELEWA TAFADHALI.
 
Habari wana JF. naomba kujuzwa katika hili

Nilipata likizo na nikaona niende kwa kaka angu
Na kufika mambo yalikua safi.
Lakini hapo nilipo fikia kwa kaka angu ana jirani ake
Na jirani ana watoto na moja kati ya watoto.

Ni amekua na tatizo la kutoelewa, mfano akitoka shule ye ni michezo na hata wakimwambia fanya hiki matokeo hafanyi. Kuuliza na kutaka kumfahamu miaka yake 12 yuko darasa la7 ni binti hata shuleni pia hafanyi vizuri sana.

Nikaona nipite JF pengine nikajua zaidi mengi ktk hilo tatizo


MWENYE KUELEWA TAFADHALI.
Sijakuelewa kabisa unauliza au umesimulia kisa hicho
 
Wewe mtoto wa jiran anakuhusu nn kama sio kiherehere? Fanya yaliyokupeleka hapo basi
Mwache ahoji mkuu kuna leo na kesho huyo mtoto unamkuta kawa daktari then ndo unatakiwa uwache tako wazi akudunge sindano!..😂
Huyu kahoji na matokeo ya kesho pia.
 
Habari wana JF. naomba kujuzwa katika hili

Nilipata likizo na nikaona niende kwa kaka angu
Na kufika mambo yalikua safi.
Lakini hapo nilipo fikia kwa kaka angu ana jirani ake
Na jirani ana watoto na moja kati ya watoto.

Ni amekua na tatizo la kutoelewa, mfano akitoka shule ye ni michezo na hata wakimwambia fanya hiki matokeo hafanyi. Kuuliza na kutaka kumfahamu miaka yake 12 yuko darasa la7 ni binti hata shuleni pia hafanyi vizuri sana.

Nikaona nipite JF pengine nikajua zaidi mengi ktk hilo tatizo


MWENYE KUELEWA TAFADHALI.
mbona mapema, subiri amalize msingi ndio uombe mbususu
 
Mwache ahoji mkuu kuna leo na kesho huyo mtoto unamkuta kawa daktari then ndo unatakiwa uwache tako wazi akudunge sindano!..
Huyu kahoji na matokeo ya kesho pia.

duh umeua kaka.
 
kiruu!!! kwani kila mtoto anaelewa shule na huyo mtoto wa jirani tena jirani wa kaka halafu wa kike labda kama unamtaka fanya yako uondoke kwa watu
 
Je si msikivu mahali popote au ni hapo nyumbani tu

Unaweza kusoma kuhusu ADHD kisha mfuatilie tena, unaweza kugundua kitu.
 
WaTanzania tuna moyo wa upendo Sana.. hongera kwa kujali
 
Back
Top Bottom