_ BABA _
JF-Expert Member
- Nov 23, 2009
- 203
- 19
India sio salama kama ukiwa ni mtu wa kujiexpress! Watu wamesoma huko na wamemaliza masomo yao na kurudi home salama tu. wabongo wengine wakiwa huko wanakuwa ni marimbukeni! Chapombe, matanuzi meeeengi na ujinga mwingi mwiiiiingi! Wengine mpaka wanatia kinyaa! Halafu tabia nyingine mbaya ni wabongo wengi kuishi kama mke na mume!! Wanatoka bongo safiii lakini wakifika huko (India) wanawekana vimada. I feel pitty!
Tema mate chini na umwombe Mungu akuepushe wewe na kizazi chako Msije kutana na Racists hata siku moja ya maisha yenu......jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa Giza..Hata siku moja huwezi kuujua uchungu wa ng'e hadi siku atakapo kuuma.....Take a very simple example ya Racist wanavyokua, nauhakika unakumbuka sana tukio la afisa balozi wa Canada na Polisi wa usalama barabarani Tanzania.......Imagine huyo afisa ukutane naye kwenye mitaa ya Toronto Canada and then awe na bastola yake kwenye gari ......unazani badara ya kukutemea mate atafanya nini???????????..............think twice before u urgue to serious matters concerning life of your fellow human being..........na kumbuka msemo wa wahenga "USITUKANE MAMBA KABLA HUJAVUKA MTO"