Je, Inawezekana Mwanafunzi wa Darasa la Saba Kuhama Shule?

JembeNaNyundo

JF-Expert Member
Dec 9, 2016
532
646
Kuna mtoto anayeingia darasa la saba. Bahati mbaya wazazi hawakutambua kwamba ukiingia darasa la saba katika shule husika ni lazima mwanafunzi aingie boarding. Wazazi wanataka mtoto asome day, na akifika form I ndipo aende boarding. Kuna namna yoyote ya kuhama?
 
Kwa mwezi huu usajili haujafanyika inawezekana sana kuhama ila afanye haraka kabla ya usajili haujafanyika ukishafanyika haiwezekani tena
 
Back
Top Bottom