Naombeni msaada nimefanya mtihani wa form 6 mwaka jana. Nilisomea PCB nimekosa point mmoja tu nina E ya physics ila mengine yote na C
Lengo langu kubwa nije kusoma course ya afya. Wazo langu nitafute chuo chochote mwaka huu.
Je, nikiwa chuo na ruhusiwa kurisiti yaani kufanya mtihani wa kidato cha sita?
Asanteni na naomba msamaha kwa kiswahili kibovu wakuu
Lengo langu kubwa nije kusoma course ya afya. Wazo langu nitafute chuo chochote mwaka huu.
Je, nikiwa chuo na ruhusiwa kurisiti yaani kufanya mtihani wa kidato cha sita?
Asanteni na naomba msamaha kwa kiswahili kibovu wakuu