DIZZO MTAWALA
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 240
- 769
Hili ni swali linalozunguka miongoni mwa watanzania wengi kutokana na hali ilivyo sasa na wengi wameingia wasiwasi baada ya viashiria vya ukandamizaji juu yao sio kwamba huko nyuma hakukuwai kutokea ukandamizaji la hasha! Ulikuwepo lakini haukuzuia shughuli za siasa kufanyika ila kwasasa kuna zuio la kutofanya siasa mpaka 2020 hiii ni mbaya kwa upinzani lakini tujipe TAFAKURI TUNDUIZI nafasi ya upinzani 2020.
Kwanza vyama mbadala (upinzani )havikuanza 1992 vilikuwepo hata kabla ya uhuru sema tulipopata uhuru mwalimu nyerere alivifuta kwa hiyo 1994 ulikuwa ni urejeshwaji japo ccm haikupenda kwa sababu kilijiunganisha na dola ndo maana kulikuwa na mikoa ya kijeshi ktk majeshi yetu kwa hiyo toka mfumo wa vyama vingi urejee ccm haijawai kuukubali watu wengi waliojiunga na upinzani 1992 walifilisika waliumia wamekuwa vilema na kulikuwa na hujuma ndani vyama upinzani toka kurejea kwake
Ktk hawamu hiii ya tano wamekuja na style ya kuumaliza upinzani kupitia taasisi za kiserikali rejea chaguzi wa kata 43 na majimbo mawili ya siha na KINONDONI wakuu wa mikoa na wilaya
wamekuwa ndo wafanya maamuzi rejea uchaguzi wa KINONDONI mkuu wa mkoa wa DSM na mkuu wa wilaya KINONDONI walikuwa kwenye majumuisho ya kura achana na amri zao kwa vyombo vya usalama.
UPINZANI UFANYE NN?
Ni lazima urudi kwenye uanaharakati kuforce vyombo vya serikali kuwapa hadhi sawa na chama tawala.
Uunganishe nguvu na makundi mengine ktk jamii hasa asasi kiraia
Utumie mfumo wa mahakama kutafuta haki kwa watendaji wanaowavunja sheria ya vyama ya mwaka 1992 na wanaokiuka haki za kibinaadamu
Mwisho 2020 ndo mwaka upinzani kuwa na wabunge wengi wanaweza kuwa nusu na ccm