Yani nimechefukwa na hizo x kwenye sentensi. MTU anaandikaje kama amekatwa vidole sasa?
Huyo mwanamke hayuko serious kuanzia anavyoandika mpaka anachoandika
Hahahahaa... Mimi ndo naandika hizo xaxa jamaniHahah, ulivyo mind haters wasije wakasema ni wewe huyo dada angu
Hahahahaa... Mimi ndo naandika hizo xaxa jamani